Bismillah Rahmani Raheem! wakuu nilileta huu uzi kwa wanaohusika tu, Wapo wengine wakristo wanapenda kufunga na wapo sio dhana, kwa wapenzi wa mwezi huu hii ni nafasi yao kukubuka vitu vya kuacha kuvifanya. Yale mazoea ni wakati wa kuyaweka pembeni, huu mwezi hata kama utamtukana kijana wa imani hii ya kiislam hatakujibu wala kukufanya lolote, ni mwezi mkubwa sana kwa waumin,
Nimeshangaa sana wakuu kuacha mada za siasa na zile kule MM wakaja kuweka post zao chafu hapa, mimi ni mtu muungwana sana, nawapenda sana, napenda utani sana, napenda kutoa mada za kutatanisha lengo langu ni IQ zetu na namna ya kuzipambanua, sasa inakuwaje msomi/G.T(great thinker unaingia kwenye) uzi wa kidiniiyo tolerance iko wapi.
lakini napenda kusema jambo moja kwamba mwezi huu ujao pia huu wa shaban ukimchokoza muislam hatakufanya lolote, na inawezekkana ustaarabu huu wa kuwa mpole,mtulivu na mwenye kufikiri juu ya m'mungu ahatakujibu wala kukwaruzana na yyte katika ninyi.
Ijumaa iliyopita nilipita ktk ibada ya Ijumaa tuliusiwa kukumbuka sana
upole
utulivu
mkweli
nk
hii yote inamaana ya AMANI