Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,007
- 1,259
sana tu,Mbusi Katolique anadoda
mnamliza lini?
bcoz mtakavokuwa na hammmmm, spati picha.
sana tu,Mbusi Katolique anadoda
Maneno yako sikuyapenda ndugu yangu mayala. Tukumbushane lkn tusikashifiane. Jaribu kufuatilia wanazuoni wa kiislam kati ya ulio waita wazawa na hao wengine, wengi ni wapi? (kwa msimamo wowote ule) mungu atuongoze in,sha,allahUtakuwa ulisilimu akhui... maana waislamu wazawa hatupendi kusoma ndo maana tunaleta mkanganyiko ktk dini. Unacho sema ni kweli Allah akulipe.
Nauchukia huo mwezi acha tu!
Biashara ya bia na kitimoto inakatisha tamaa.
unafiki tu unakusumbua ! labbda unamkumbuka kwa kuning'iniza picha,yake sebuleni baada ya kuinunua duka la stationary !
Sie kwa siku tunamsujudia mara tano !
Tutakuvumilia kwa hili!
Ni mbaya kucheza ni imani za watu!
Nauchukia huo mwezi acha tu!
Biashara ya bia na kitimoto inakatisha tamaa.
asante,pole mkuu
Nauchukia huo mwezi acha tu!
Biashara ya bia na kitimoto inakatisha tamaa.
asante,
lini inaisha?
Bismillah Rahmani Raheem! wakuu nilileta huu uzi kwa wanaohusika tu, Wapo wengine wakristo wanapenda kufunga na wapo sio dhana, kwa wapenzi wa mwezi huu hii ni nafasi yao kukubuka vitu vya kuacha kuvifanya. Yale mazoea ni wakati wa kuyaweka pembeni, huu mwezi hata kama utamtukana kijana wa imani hii ya kiislam hatakujibu wala kukufanya lolote, ni mwezi mkubwa sana kwa waumin,
Nimeshangaa sana wakuu kuacha mada za siasa na zile kule MM wakaja kuweka post zao chafu hapa, mimi ni mtu muungwana sana, nawapenda sana, napenda utani sana, napenda kutoa mada za kutatanisha lengo langu ni IQ zetu na namna ya kuzipambanua, sasa inakuwaje msomi/G.T(great thinker unaingia kwenye) uzi wa kidiniiyo tolerance iko wapi.
lakini napenda kusema jambo moja kwamba mwezi huu ujao pia huu wa shaban ukimchokoza muislam hatakufanya lolote, na inawezekkana ustaarabu huu wa kuwa mpole,mtulivu na mwenye kufikiri juu ya m'mungu ahatakujibu wala kukwaruzana na yyte katika ninyi.
Ijumaa iliyopita nilipita ktk ibada ya Ijumaa tuliusiwa kukumbuka sana
upole
utulivu
mkweli
nk
hii yote inamaana ya AMANI
Yeah, good to hear![/color]
Kweli mkuu. ISLAM IS THE RELIGION OF PEACE!