Raisi mstaafu Moi alikuwa "anatengeneza" Makabila!

Unapoanzisha mada zenye utata, unafaa kutolea na mifano kabisa, naomba kujua kabila alilobuni rais Moi, maana wakati anaondoka kwenye madaraka aliacha idadi ya makabila kama alivyoikuta.
Mimi hapa Mkikuyu, kabila langu lilikuwepo hata kabla ya nchi ya Kenya kubuniwa.


Nilisoma alikuwa anachomoa kundi fulani kutoka kwenye Kabila fulani na kuliingiza kwenye Kabila lingine ili kuogeza/kupunguza idadi ya wapiga kura kulingana na waliokuwa upande wake!
 
Nilisoma alikuwa anachomoa kundi fulani kutoka kwenye Kabila fulani na kuliingiza kwenye Kabila lingine ili kuogeza/kupunguza idadi ya wapiga kura kulingana na waliokuwa upande wake!

Ndio maana nikakuomba ulete mfano ili wanaokujibu wapate picha ya nini unachojaribu kusema, maana utachukua vipi kundi na kuliingiza kwa kabila lingine, jambo kama hilo linawezekana Tanzania ambapo huwa hamzingatii lugha zenu za asili na tamaduni kwenye makabila yenu. Lakini kwa Kenya ni vigumu maana ukichomekwa kwenye kabila lolote utaumbuka mara moja kwa sababu kwetu tunaenzi lugha zetu za asili na kudumisha tamaduni zetu.

Leo hii hauwezi kumchukua Mkamba na kumuingiza katikati ya Wajaluo na kutegema ajiite Mjaluo bila kuumbuka, maana utakuta Wajaluo wakiwa pamoja baina yao wanaongea lugha yao ya asili. Na ndio taswira kwa makabila yote, sasa itabidi uje upya na kujipanga na swali lako kabla ya kuuliza.
 
Ndio maana nikakuomba ulete mfano ili wanaokujibu wapate picha ya nini unachojaribu kusema, maana utachukua vipi kundi na kuliingiza kwa kabila lingine, jambo kama hilo linawezekana Tanzania ambapo huwa hamzingatii lugha zenu za asili na tamaduni kwenye makabila yenu. Lakini kwa Kenya ni vigumu maana ukichomekwa kwenye kabila lolote utaumbuka mara moja kwa sababu kwetu tunaenzi lugha zetu za asili na kudumisha tamaduni zetu.

Leo hii hauwezi kumchukua Mkamba na kumuingiza katikati ya Wajaluo na kutegema ajiite Mjaluo bila kuumbuka, maana utakuta Wajaluo wakiwa pamoja baina yao wanaongea lugha yao ya asili. Na ndio taswira kwa makabila yote, sasa itabidi uje upya na kujipanga na swali lako kabla ya kuuliza.
Mkuu unapoteza Muda wako + Nguvu zako tu.
 
MK254, huyu ashajulikana kuwa mwenye low IQ hata na mashabiki wa Tanzania wenyewe kama akina Geza. Utaharibu muda wako tu - mwenyewe anasema Kinyarwanda ni kabila yet anajiona kama muelewa wa kabila. Achana na zuzu hili.
 
Ndio maana nikakuomba ulete mfano ili wanaokujibu wapate picha ya nini unachojaribu kusema, maana utachukua vipi kundi na kuliingiza kwa kabila lingine, jambo kama hilo linawezekana Tanzania ambapo huwa hamzingatii lugha zenu za asili na tamaduni kwenye makabila yenu. Lakini kwa Kenya ni vigumu maana ukichomekwa kwenye kabila lolote utaumbuka mara moja kwa sababu kwetu tunaenzi lugha zetu za asili na kudumisha tamaduni zetu.

Leo hii hauwezi kumchukua Mkamba na kumuingiza katikati ya Wajaluo na kutegema ajiite Mjaluo bila kuumbuka, maana utakuta Wajaluo wakiwa pamoja baina yao wanaongea lugha yao ya asili. Na ndio taswira kwa makabila yote, sasa itabidi uje upya na kujipanga na swali lako kabla ya kuuliza.


Lkn kuna watu ambao labda lugha zao zinashabiiana lkn wako makundi (Kabila)tofauti, hivyo unaweza kuwachukuwa na kuwaweka kundi fulani kwa mfano sijui Kenya lkn kwa Tanzania kuna ,,makabila" mengi ambayo yana majina tofauti lkn yanaongea lugha moja/ au lugha inayofanana na wana utamaduni unakaribiana lkn wanahesabika kama ni Makabila 2 tofauti, kwa mfano Wameru na Wamachame, Wamachame wanaitwa wachaga lkn hawana uhusiano wowote na wachaga wengine labda tuseme wa Rombo lkn Wameru na Wamachame ni karibia wamoja lkn wamewekwa kundi tofauti hivyo unaweza kuwachukuwa Wameru ukawaweka na Wachaga pamoja na kutengeza kabila jipya, hivyo unaweza kuchukuwa moja ukaliweka kwingine kama walivyofanya walianzisha hayo Makabila!
 
Lkn kuna watu ambao labda lugha zao zinashabiiana lkn wako makundi (Kabila)tofauti, hivyo unaweza kuwachukuwa na kuwaweka kundi fulani kwa mfano sijui Kenya lkn kwa Tanzania kuna ,,makabila" mengi ambayo yana majina tofauti lkn yanaongea lugha moja/ au lugha inayofanana na wana utamaduni unakaribiana lkn wanahesabika kama ni Makabila 2 tofauti, kwa mfano Wameru na Wamachame, Wamachame wanaitwa wachaga lkn hawana uhusiano wowote na wachaga wengine labda tuseme wa Rombo lkn Wameru na Wamachame ni karibia wamoja lkn wamewekwa kundi tofauti hivyo unaweza kuwachukuwa Wameru ukawaweka na Wachaga pamoja na kutengeza kabila jipya, hivyo unaweza kuchukuwa moja ukaliweka kwingine kama walivyofanya walianzisha hayo Makabila!

Hilo bado haliwezekani maana hata kama yanashahabiana, utakuta wazawa wa kabila fulani watakuumbua pale unachomekwa humo. Bahati hao Wachagga ni baadhi ya makabila ya kwenu wana ongea lugha zao, ukimuweka huyo Mmeru ndani ya Wamachame, watamuumbua tu. Labda Mmeru aje Dar kuwachanganya Wazaramo kwa kujiita Mmachame, wale watamuamini, lakini akiwakuta Wamachame hapo Dar, itabidi awe mpole.

Sisi Wakikuyu tunaongea lugha inayofanana sana na watu wa jamii ya Waembu, lakini leo hii nikiingia ndani yao, watanishtukia mara moja.
Anyway kwaheri sioni mantiki ya hoja yako, kafanye utafiti kabla ya kuja kutuzingua tena.
 
MK254, huyu ashajulikana kuwa mwenye low IQ hata na mashabiki wa Tanzania wenyewe kama akina Geza. Utaharibu muda wako tu - mwenyewe anasema Kinyarwanda ni kabila yet anajiona kama muelewa wa kabila. Achana na zuzu hili.

Ndio zake jamaa, sijui huvuta ya wapi maana hukurupuka na mada za kiajabu ajabu halafu huniacha hoi kwa kicheko jinsi huzitetea, yaani nenda kule kwenye jukwaa la siasa za Tanzania, jamaa anaweza akaibuka na bonge la uzi wenye kauli tata, halafu hachezei mbali, atajibizana na Watanzania humo kurasa kwa kurasa hadi wamchoke na kumuachia uzi wake. Huwa nacheka sana....
 
Hilo bado haliwezekani maana hata kama yanashahabiana, utakuta wazawa wa kabila fulani watakuumbua pale unachomekwa humo. Bahati hao Wachagga ni baadhi ya makabila ya kwenu wana ongea lugha zao, ukimuweka huyo Mmeru ndani ya Wamachame, watamuumbua tu. Labda Mmeru aje Dar kuwachanganya Wazaramo kwa kujiita Mmachame, wale watamuamini, lakini akiwakuta Wamachame hapo Dar, itabidi awe mpole.

Sisi Wakikuyu tunaongea lugha inayofanana sana na watu wa jamii ya Waembu, lakini leo hii nikiingia ndani yao, watanishtukia mara moja.
Anyway kwaheri sioni mantiki ya hoja yako, kafanye utafiti kabla ya kuja kutuzingua tena.


Je, Wakikuyu wote wanaongea Lugha moja bila ya tofauti yoyote? Na Wakikuyu wanaanzia wapi na kuishia wapi na hao wanaokaa mpaka unapoishia ukikuyu, wako tofauti kabisa kwamba huwezi kuwafanya kuwa Wakikuyu? naua kwa mfano Wasamburu unaweza kuwafanya Wamasai na kinyume chake kama ukiamua!
 
MK254, huyu ashajulikana kuwa mwenye low IQ hata na mashabiki wa Tanzania wenyewe kama akina Geza. Utaharibu muda wako tu - mwenyewe anasema Kinyarwanda ni kabila yet anajiona kama muelewa wa kabila. Achana na zuzu hili.


Sawa wewe mwenye high IQ niambie kama ukipenda kwa nini hakuna Lugha ya Kihutu au Kitusi kama Kihutu na Kitusi ni Makabila 2 tofauti? kwanza siyo Kabila tu hata ngoma za Kiutamaduni, hakuna ngoma ya Kihutu au kitusi ni utamaduni mmoja wote hakuna tofauti yoyote!
 
Mkuu unapoteza Muda wako + Nguvu zako tu.

Kweli kaka, hamna haja ya kupoteza muda zaidi, yeye anafikiria unaweza kumchomekea mtu ndani ya kabila na akawa wa kabila hilo kuanzia hapo. Kitu hakijui, kubadilisha mtu mzima hadi awe wa kabila fulani ni jambo linaweza kuchukua hata zaidi ya miaka ishirini, hadi aingiane na lugha, lafudhi, tamaduni na desturi za hilo kabila sio rahisi kihivyo, labda aanze akiwa mtoto mdogo.

Hata kwa makabila yanayopakana, bado unakuta ni mtihani wa muda mrefu.

Kitu ambacho najua hutendeka Kenya, ni pale mbunge anataka kuongeza wafuasi wake, anaweza akakusanya watu wa mjini kuja kujiandikisha kwenye eneo bunge lake, ikifika siku ya kupiga kura wanakuja kumpigia. Hili hutendeka sana Nairobi, watu wanakusanywa wa kutokea maeneo yanayokaribiana na Nairobi. Lakini kwa rais, huna haja ya kuwahamisha watu maana kura yako inaweza kupigiwa popote.
 
Kweli kaka, hamna haja ya kupoteza muda zaidi, yeye anafikiria unaweza kumchomekea mtu ndani ya kabila na akawa wa kabila hilo kuanzia hapo. Kitu hakijui, kubadilisha mtu mzima hadi awe wa kabila fulani ni jambo linaweza kuchukua hata zaidi ya miaka ishirini, hadi aingiane na lugha, lafudhi, tamaduni na desturi za hilo kabila sio rahisi kihivyo, labda aanze akiwa mtoto mdogo.

Hata kwa makabila yanayopakana, bado unakuta ni mtihani wa muda mrefu.

Kitu ambacho najua hutendeka Kenya, ni pale mbunge anataka kuongeza wafuasi wake, anaweza akakusanya watu wa mjini kuja kujiandikisha kwenye eneo bunge lake, ikifika siku ya kupiga kura wanakuja kumpigia. Hili hutendeka sana Nairobi, watu wanakusanywa wa kutokea maeneo yanayokaribiana na Nairobi. Lakini kwa rais, huna haja ya kuwahamisha watu maana kura yako inaweza kupigiwa popote.


Mbona maswali yangu ya msinggi hauyajibu unaishia kunikeli tu?
 
Ili uweze kujadili jambo lolote lile ni lazima uwe na uwelewa mkubwa sana kuhusu jambo hilo.
Historia za makabila zipo nyingi sana,kwanini usingefanya uchunguzi yakinifu?
Nb:kabila lolote halitengenezwi na mtu mmoja bali ni kikundi fulani cha watu waliokutana eneo fulani mostly sababu za kiasili.
 
kenya never stopped colonial instruments like tribalism and oppression. Jomo Kenyatta was a vision-less, illiterate intellectual dwarf who couldn't think beyond stealing land for his family and his fellow kikuyu friends. Moi chose to continue Kenyatta heritage by following his footsteps. Up-to-date little has changed!

He also chose to protect some white men who still run the biggest farms with tea, coffee, flowers and wild animals (private ranches and sanctuaries).

Meanwhile hungry poor Kenyan squatters get shot at when they go near white farms which were taken forcefully from their ancestors.

When Kenyans agitate for return of their lands to blacks, they are told that they are illiterate and have low IQ to manage white farms and that they will collapse the farms and the economy at large.
This is true,same happened to Zimbabwe where fat farm collups when turned to blacks.
 
Ili uweze kujadili jambo lolote lile ni lazima uwe na uwelewa mkubwa sana kuhusu jambo hilo.
Historia za makabila zipo nyingi sana,kwanini usingefanya uchunguzi yakinifu?
Nb:kabila lolote halitengenezwi na mtu mmoja bali ni kikundi fulani cha watu waliokutana eneo fulani mostly sababu za kiasili.


Nimekwishafanya uchunguzi na kusoma vitabu vingi kuhusu haya yanayoitwa Makabila Afrika, mengi yao yalitengenzwa, na wageni (Wazungu/Waarabu) kwa mfano Wanyamwezi siyo kabila kwa maana halisi ya kabila bali lilitengenezwa/anzishwa wakati wa Biashara ya Utumwa karavani ktk Kongo mpka Bagamoyo, kabla ya Waarabu kuja hawakuitwa Wanyamwezi labda nikuulize ni nani alisema TZ kuna Makabila 123? Unajua hiyo idadi ilipajtikana vipi? Na nani aliamua hili hili liitwe Kabila na lile siyo?
 
Nimekwishafanya uchunguzi na kusoma vitabu vingi kuhusu haya yanayoitwa Makabila Afrika, mengi yao yalitengenzwa, na wageni (Wazungu/Waarabu) kwa mfano Wanyamwezi siyo kabila kwa maana halisi ya kabila bali lilitengenezwa/anzishwa wakati wa Biashara ya Utumwa karavani ktk Kongo mpka Bagamoyo, kabla ya Waarabu kuja hawakuitwa Wanyamwezi labda nikuulize ni nani alisema TZ kuna Makabila 123? Unajua hiyo idadi ilipajtikana vipi? Na nani aliamua hili hili liitwe Kabila na lile siyo?
Una maanisha kabla ya ukoloni hakukuwa na makabila Afrika?
 
Nimekwishafanya uchunguzi na kusoma vitabu vingi kuhusu haya yanayoitwa Makabila Afrika, mengi yao yalitengenzwa, na wageni (Wazungu/Waarabu) kwa mfano Wanyamwezi siyo kabila kwa maana halisi ya kabila bali lilitengenezwa/anzishwa wakati wa Biashara ya Utumwa karavani ktk Kongo mpka Bagamoyo, kabla ya Waarabu kuja hawakuitwa Wanyamwezi labda nikuulize ni nani alisema TZ kuna Makabila 123? Unajua hiyo idadi ilipajtikana vipi? Na nani aliamua hili hili liitwe Kabila na lile siyo?

wewe ni zuzu! hta ukisoma vitabu huwezi kuelewa
 
Nimekwishafanya uchunguzi na kusoma vitabu vingi kuhusu haya yanayoitwa Makabila Afrika, mengi yao yalitengenzwa, na wageni (Wazungu/Waarabu) kwa mfano Wanyamwezi siyo kabila kwa maana halisi ya kabila bali lilitengenezwa/anzishwa wakati wa Biashara ya Utumwa karavani ktk Kongo mpka Bagamoyo, kabla ya Waarabu kuja hawakuitwa Wanyamwezi labda nikuulize ni nani alisema TZ kuna Makabila 123? Unajua hiyo idadi ilipajtikana vipi? Na nani aliamua hili hili liitwe Kabila na lile siyo?
Wakoloni walikuwa wanashindwa sana kutamka baadhi ya majina ya kiasili,mfano,kilimakyaro-kilimanjaro hii ilipelekea baadhi ya majina yabaki vilevile tofauti na hapo awali.

Jaribu kutafuta asili na chimbuko la lugha ya kiswahili ukiweza itakupa mwanga zaidi kuhusu makabila.

Pia jaribu kusoma kitabu cha walter rodney "how europe underdeveloped Africa"

Unajua ni kwanini kenya na Tanzania kuna kabila linaitwa wamasai?

Is it true our good manners come from europe?
 
Una maanisha kabla ya ukoloni hakukuwa na makabila Afrika?


Hapana, yalikuwepo ila hayakuwa kama jinsi yalivyo leo hii, yaani kulikuwa hakuna takwimu kwa mfano kulikuwa hakuna Wachaga kama kama tuwajuavyo leo hii bali kulikua na Warombo, Wakibosho n.k. au Wagogo hawakuitwa/kujiita Wagogo, jina la Wagogo walibatizwa tu wakati wa karavani ktk Kongo mpka B'moyo/Tanga, au Wahaya walikuwepo lkn hawa ambao leo hii wote wanaitwa Wahaya kabla ya Ukoloni hawakuitwa wote Wahaya kwani ni mtu/Mtawala aliamua hivyo kuwaweka kundi moja na kuwapa jina!
 
wewe ni zuzu! hta ukisoma vitabu huwezi kuelewa


Sema uzuzu wangu ulipo ili twende pole pole kama ukipenda kila Binadamu anaweza kuwa zuzu kulingana na uelewa wake, wote tunajifunza!
 
Back
Top Bottom