Raisi mstaafu Moi alikuwa "anatengeneza" Makabila!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Nimesoma mahali kwamba Raisi mstaafu wa Kenya A.Moi wakati wa utawala wake alikuwa anatengeneza Makabila, yaani alikuwa anaamua kundi hili litakuwa sehemu ya Kabila hili na kuliondoa kundi xyz kuliweka Kabila lingine, kwa kifupi haya yanayoitwa makabila ni artificial na yamewekwa na watawala, kabla ya ukoloni sehemu kubwa ya wanaojiita Wakikuyu (nimetolea Kikuyu kama mfano tu inaweza kuwa kundi lolote) hawakuwa Wakikuyu, Wakamba &Co.

Hivyo hata chuki mliyonayo dhidi yenu wenyewe ni ya kutengenezwa kwani mnachukia kitu ambacho kilitengenezwa na Binadamu ni kama Rwanda tu hakuna Kabila la Watusi/Wahutu, walitengenezwa tu na Watawala na kuanza kuchukiana mwishowe kuuwana, na sasa Kagame ni Raisi wa maisha, ...
 
Kenya inasumbua nyoyo za watu aisee.


Hapana, mimi huwa na interest ya Siasa za Afrika kabla na baada ya Ukoloni ili nielewe tulipotoka, hivyo siyo kwamba naiongelea Kenya tu bali huongelea nchi nyingi ikiwemo yangu ya TZ, kama haujui Historia ya utokako hata huko mbele uendako ni giza tu, fikiria sasa kwa mfano unamchukua binadamu mwenzako kwa sababu tu binadamu xyz alikwambia hivyo, hakuna kitu kiliniuma kama nilivyokuja kufahamu kwamba Rwanda kuna Kabila Moja tu la Kinyarwanda lkn waligawanywa na kuanza kuuwana!
 
kenya never stopped colonial instruments like tribalism and oppression. Jomo Kenyatta was a vision-less, illiterate intellectual dwarf who couldn't think beyond stealing land for his family and his fellow kikuyu friends. Moi chose to continue Kenyatta heritage by following his footsteps. Up-to-date little has changed!

He also chose to protect some white men who still run the biggest farms with tea, coffee, flowers and wild animals (private ranches and sanctuaries).

Meanwhile hungry poor Kenyan squatters get shot at when they go near white farms which were taken forcefully from their ancestors.

When Kenyans agitate for return of their lands to blacks, they are told that they are illiterate and have low IQ to manage white farms and that they will collapse the farms and the economy at large.
 
Hapana, mimi huwa na interest ya Siasa za Afrika kabla na baada ya Ukoloni ili nielewe tulipotoka, hivyo siyo kwamba naiongelea Kenya tu bali huongelea nchi nyingi ikiwemo yangu ya TZ, kama haujui Historia ya utokako hata huko mbele uendako ni giza tu, fikiria sasa kwa mfano unamchukua binadamu mwenzako kwa sababu tu binadamu xyz alikwambia hivyo, hakuna kitu kiliniuma kama nilivyokuja kufahamu kwamba Rwanda kuna Kabila Moja tu la Kinyarwanda lkn waligawanywa na kuanza kuuwana!

Yaani unajifanya una ufahamu wa kihistoria Africa Na unasema Rwanda Ina kabila moja Kisha hilo kabila unaliita Kinyarwanda? Kweli wewe ni boya, zuzu mkuu. Rudi shule ya chekechea brathee.
 
Yaani unajifanya una ufahamu wa kihistoria Africa Na unasema Rwanda Ina kabila moja Kisha hilo kabila unaliita Kinyarwanda? Kweli wewe ni boya, zuzu mkuu. Rudi shule ya chekechea brathee.


Sasa Rwanda ina Makabila mangapi kama unafahamu?
 
Sasa Rwanda ina Makabila mangapi kama unafahamu?
Hakuna kabila linaloitwa Kinyarwanda. Rwanda Ina kabila tatu.
1. Hutu - 84%
2. Tutsi - 15%
3. Twa - 1%

Kama nilivyokwambia hakuna unalojua. Ni Kenya tu unayoiwaza ndio maana unafungua thread ya kijinga kama hii.
 
Hakuna kabila linaloitwa Kinyarwanda. Rwanda Ina kabila tatu.
1. Hutu - 84%
2. Tutsi - 15%
3. Twa - 1%

Kama nilivyokwambia hakuna unalojua. Ni Kenya tu unayoiwaza ndio maana unafungua thread ya kijinga kama hii.


Wahutu na Watusi siyo Makabila 2 tofauti bali ni Kabila, wote ni wamoja na wanaongea Lugha Moja inayoitwa Kinyarwanda vile vile wana utamaduni mmoja, na ndicho nilichomaanisha!
 
Wahutu na Watusi siyo Makabila 2 tofauti bali ni Kabila, wote ni wamoja na wanaongea Lugha Moja inayoitwa Kinyarwanda vile vile wana utamaduni mmoja, na ndicho nilichomaanisha!
Hivi vile Tanzania nzima mnaongea Lugha moja ya Kiswahili Ina maana Tanzania Ina kabila moja? Ujinga wako hauna mfano.
 
Hizi akili za kuvukia barabara bana, huwa zinaandamana na confidence ingine bab kubwa.
 
Hivi vile Tanzania nzima mnaongea Lugha moja ya Kiswahili Ina maana Tanzania Ina kabila moja? Ujinga wako hauna mfano.


Unachanganya mambo, Tanzania watu karibia wote wanaongea Kiswahili kwa sababu ni Lugha ya Taifa na ndiyo Lugha inayotumika kuwaisiliana Shuleni, Biashara n.k. lkn kuna Lugha nyingine pia lkn Rwanda hakuna Lugha ya Kihutu wala Kitusi na wala hazijawahi kuwepo, hivyo ina maana hakuna Kabila la Kihutu wala Kitusi bali kuna Kabila Moja tu la Kinyarwanda na Uhutu na Utusi ni man made!
 
Unachanganya mambo, Tanzania watu karibia wote wanaongea Kiswahili kwa sababu ni Lugha ya Taifa na ndiyo Lugha inayotumika kuwaisiliana Shuleni, Biashara n.k. lkn kuna Lugha nyingine pia lkn Rwanda hakuna Lugha ya Kihutu wala Kitusi na wala hazijawahi kuwepo, hivyo ina maana hakuna Kabila la Kihutu wala Kitusi bali kuna Kabila Moja tu la Kinyarwanda na Uhutu na Utusi ni man made!
Rudi shule Kijana.
 
Sasa Hivi na sisi tumepata,

Majuzi kuna mnadhimu wa zamani wa majeshi kakosa kupelekwa matibabu akiambiwa hakuna pesa hadi kufikia kuchangiwa na wastaafu wenzake

Kumbe kuna ambao wanapelekwa matibabu kwa kibali “maalum “
Ndio maana deni la India limepaaa kumbe kuna Raia special vibali havipitiii tena mchakato rasmi
cd92f75d-e07b-4f6c-abf4-9307a96cd870.jpg
 
Wacha upuzi wewe baba rosa! Makabila Kenya yalikuwepo hata kabla ya wakoloni kuja.
Moi na madhambi yake yote usimwekelee hili la "kuunda" makabila.
Kama haukuelewa repoti hiyo uliyosoma kwa Kiingereza,usilete tafsiri potovu hapa!
 
Wacha upuzi wewe baba rosa! Makabila Kenya yalikuwepo hata kabla ya wakoloni kuja.
Moi na madhambi yake yote usimwekelee hili la "kuunda" makabila.
Kama haukuelewa repoti hiyo uliyosoma kwa Kiingereza,usilete tafsiri potovu hapa!


Nilisoma ilikuwa ni mambo ya Siasa na namba hivyo alikuwa anachukuwa kundi moja na kuliingiza Kabila fulani ili kuongeza idadi na kuchomoa kundi lingine ili kupunguza idadi!
 
Unapoanzisha mada zenye utata, unafaa kutolea na mifano kabisa, naomba kujua kabila alilobuni rais Moi, maana wakati anaondoka kwenye madaraka aliacha idadi ya makabila kama alivyoikuta.
Mimi hapa Mkikuyu, kabila langu lilikuwepo hata kabla ya nchi ya Kenya kubuniwa.
 
Back
Top Bottom