Raisi mstaafu Moi alikuwa "anatengeneza" Makabila!

Wakoloni walikuwa wanashindwa sana kutamka baadhi ya majina ya kiasili,mfano,kilimakyaro-kilimanjaro hii ilipelekea baadhi ya majina yabaki vilevile tofauti na hapo awali.

Jaribu kutafuta asili na chimbuko la lugha ya kiswahili ukiweza itakupa mwanga zaidi kuhusu makabila.

Pia jaribu kusoma kitabu cha walter rodney "how europe underdeveloped Africa"

Unajua ni kwanini kenya na Tanzania kuna kabila linaitwa wamasai?

Is it true our good manners come from europe?


Sijasema kama kulikuwa hakuna makabila, la hasha, Makabila yalikuwepo ila siyo kama tuyajuavyo leo hii, Wazungu(Wakoloni) waliwapanga watu upya, labda nikuulize kwa nini Tanzania tunaita Wapare lkn Kenya wanaitwa Wataita? lkn kwenye takwimu inajulikana kama Wataita ni kabila tofauti na Wapare ambapo siyo kweli kwani wote ni wamoja ila kuna Mtawala aliaamua kujenga mpaka na kusema ninyi mtakuwa Kabila la Wataita na wale kule ni Kabila la Wapare lkn watu wamoja, ...
 
Sijasema kama kulikuwa hakuna makabila, la hasha, Makabila yalikuwepo ila siyo kama tuyajuavyo leo hii, Wazungu(Wakoloni) waliwapanga watu upya, labda nikuulize kwa nini Tanzania tunaita Wapare lkn Kenya wanaitwa Wataita? lkn kwenye takwimu inajulikana kama Wataita ni kabila tofauti na Wapare ambapo siyo kweli kwani wote ni wamoja ila kuna Mtawala aliaamua kujenga mpaka na kusema ninyi mtakuwa Kabila la Wataita na wale kule ni Kabila la Wapare lkn watu wamoja, ...
Unachanganya Mambo mengi sana kwa wakati mmoja
Wakoloni walitumia mbinu nyingi kututawala baadhi ni INDIRECT(hii ilikuwa partial destruction of african culture) na DIRECT(hii ilikua total destruction of african culture) rule system.
 
Unachanganya Mambo mengi sana kwa wakati mmoja
Wakoloni walitumia mbinu nyingi kututawala baadhi ni INDIRECT(hii ilikuwa partial destruction of african culture) na DIRECT(hii ilikua total destruction of african culture) rule system.


Lkn haujasema ni wapi nilipochanganya, kusema hivyo unarahisisha tu, unaweza kufafanua kama ukipenda!
 
Lkn haujasema ni wapi nilipochanganya, kusema hivyo unarahisisha tu, unaweza kufafanua kama ukipenda!
Kiufupi naweza sema MOI/WAKOLONI hawakutengeneza makabila na hawawezi kutengeneza unless uzungumzie kudidimiza au kuboresha makabila walioyakuta
 
Kiufupi naweza sema MOI/WAKOLONI hawakutengeneza makabila na hawawezi kutengeneza unless uzungumzie kudidimiza au kuboresha makabila walioyakuta


Basi labda haujelewa ninachoongelea lkn siyo lazima kama pia hautaki kuelewa/kukubali, kwani nimetoa mifano lkn unaikwepa hautaki kujibu!
 
Alichokosea ni kusema kua Moi aliunda makabila ,ila anahoja japo hajaiweka bayana.Kwa mfano jamii ya waluhya,kuna makabila madogo 18 ambayo yanaunda kabila kubwa la kiluhya na hatujui ni vigezo vipi walitumia kuweka hao watu wote kuwa kabila moja.
 
Back
Top Bottom