#COVID19 Rais Yoweri Museveni ametangaza Jumamosi kuwa siku ya kitaifa ya maombi kwa ajili ya COVID-19

Wewe si ulitukejeli kwa hatua zetu za maombi ya siku tatu?
 
90% ya wafanyakazi Uganda wamepunguziwa mshahara na kuna mwalimu wa shule binafsi baada ya kukosa mshahara anauza mahindi ya kuchoma ila anapata changamoto ya kufukuzwa na maskari.

Source BBC Swahili.
 
K
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…