Sadock Kabuko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 1,171
- 1,080
Yeye si alisema Mungu yuko busy hawezi kusikiliza wajinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahahaWametuiga, ngoja tuone
Wewe si ulitukejeli kwa hatua zetu za maombi ya siku tatu?Rais Yoweri Kaguta Museveni ametangaza muda mfupi uliopita kwamba kutokana na kufuatwa na mtu fulani aliyedai ameoneshwa na Mungu maono kwamba amwambie Museveni aandae siku ya maombi ya Kitaifa kumshukuru Mungu kulitoa Taifa katika janga la Corona ameamua siku ya tarehe 29 /8/2020 kuwa siku ya maombi ya kitaifa kumshukuru Mungu
Aidha rais huyo amewasisitiza wananchi kubaki majumbani mwao huku wakifanya maombi.
Wewe si ulitukejeli kwa hatua zetu za maombi ya siku tatu?
KRais Yoweri Kaguta Museveni ametangaza muda mfupi uliopita kwamba kutokana na kufuatwa na mtu fulani aliyedai ameoneshwa na Mungu maono kwamba amwambie Museveni aandae siku ya maombi ya Kitaifa kumshukuru Mungu kulitoa Taifa katika janga la Corona ameamua siku ya tarehe 29 /8/2020 kuwa siku ya maombi ya kitaifa kumshukuru Mungu
Aidha rais huyo amewasisitiza wananchi kubaki majumbani mwao huku wakifanya maombi.