Hichilema is the richest man in Zambia. Posho hachukui Ila huduma zote kuanzia chakula Hadi malazi anapewa bure na serikali.
Sifa too much
Hapo jirani Uganda mtu akiingia ikulu anahakikisha anao mshahara mnono, wakwe zake anawapa ukatibu mkuu, watoto wanapewa ubunge na ukuu wa majeshi, wapwa uwaziri, nyumba ndogo ukuu wa mkoa, besti anapewa wizara ya fweza.