Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,736
- 89,326
Mbona hajaitaja family yako.
Mbona hajaitaja family yako.
Duh! Hahahahaaa!Maku yako. Mlizoea kukatwana kugegedwa ngenya kwa kujipendekeza kwa hata usichokielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakiwa wametokea wapi? Wakitoka huko ndiyo zawadi ya majina mnayowapa?Kweli nyinyi sio wanyonge maana mafisadi wote wamekimbilia kwenu
Naam naomba kuwakilisha hili..Hizi kwangu mimi naziona kama ghiliba,kama kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
Kutuita watanzania wanyonge watanzania masikini ni kutukejeli! Watanzania sio wanyonge bali ni wavumilivu na watu tunaoheshimiana.
Tunakutaka usituite wanyonge,huku ukitubomolea makazi yetu tena kwa kukiuka agizo la mahakama.
Unatuita wanyonge huku ukikataa kutuletea katiba mpya itakayo wawajibisha wapindisha haki na mafisadi wote wa serikali yako!
Unatuita wanyonge huku ukituingiza kwenye hasara kubwa kwa kukiuka naagizo ya mahakama.
Unatuita wanyonge huku ukitupiga danadana kuwaongeza mshahara wafanyakazi
Unatuita wanyonge huku ukiruhusu makampuni yapoteze ajira kwa watu wako kwa kushindwa kujiendesha
Hili jina la Watanzania wanyonge tunaona linatumika kujinufaisha kwa baadhi ya viongozi kujiona miungu watu. Tunaomba likome
Kweli kabisaWajinga huwa wanapinga chhte kinachomuhusu mpendwa wao
Amesema ukweli kabisa ppmbe amegeuza Tanzania kama familia yake hata Mimi sipendi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani uwongo?
- Katiba mpya katia kwapani
-Nunge live kaliweka kufiri
-Siasa na vyama vya siasa kazipiga makufuli
- Vyombo vya habari kaviziba midomo
- Polisi anawatumia kufungafunga watu bila makosa
Kweli Tanzania yetu nitaifa la wanyonge kunyongwa hovyo hovyo.
Kweli kabisaUkitaka kumtawala mtu vyovyote utakavyo mnyime elimu tu
Kweli mkuu mimi sio mnyonge bali huwa namvumilia tu.Hizi kwangu mimi naziona kama ghiliba,kama kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
Kutuita watanzania wanyonge watanzania masikini ni kutukejeli! Watanzania sio wanyonge bali ni wavumilivu na watu tunaoheshimiana.
Tunakutaka usituite wanyonge,huku ukitubomolea makazi yetu tena kwa kukiuka agizo la mahakama.
Unatuita wanyonge huku ukikataa kutuletea katiba mpya itakayo wawajibisha wapindisha haki na mafisadi wote wa serikali yako!
Unatuita wanyonge huku ukituingiza kwenye hasara kubwa kwa kukiuka naagizo ya mahakama.
Unatuita wanyonge huku ukitupiga danadana kuwaongeza mshahara wafanyakazi
Unatuita wanyonge huku ukiruhusu makampuni yapoteze ajira kwa watu wako kwa kushindwa kujiendesha
Hili jina la Watanzania wanyonge tunaona linatumika kujinufaisha kwa baadhi ya viongozi kujiona miungu watu. Tunaomba likome
Kwamba yanafurahi kuitwa wanyonge?Yaani kwwny hizi comments za watu ndonimeamini watanzania bado sana ndomana tunaonewa kila kukicha,,tukidai haki zetu tunakandamizwa,,,yan mtu anatoa mtazamo wake sisi sio wanyonge bali wavumilivu na wastaarab lakin cha ajab mijinga humu ndani inamshambuliaa kama akina kanyinya upuuzi mtupuu
Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
Kweli nyinyi sio wanyonge maana mafisadi wote wamekimbilia kwenu
Hizi kwangu mimi naziona kama ghiliba,kama kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
Kutuita watanzania wanyonge watanzania masikini ni kutukejeli! Watanzania sio wanyonge bali ni wavumilivu na watu tunaoheshimiana.
Tunakutaka usituite wanyonge,huku ukitubomolea makazi yetu tena kwa kukiuka agizo la mahakama.
Unatuita wanyonge huku ukikataa kutuletea katiba mpya itakayo wawajibisha wapindisha haki na mafisadi wote wa serikali yako!
Unatuita wanyonge huku ukituingiza kwenye hasara kubwa kwa kukiuka naagizo ya mahakama.
Unatuita wanyonge huku ukitupiga danadana kuwaongeza mshahara wafanyakazi
Unatuita wanyonge huku ukiruhusu makampuni yapoteze ajira kwa watu wako kwa kushindwa kujiendesha
Hili jina la Watanzania wanyonge tunaona linatumika kujinufaisha kwa baadhi ya viongozi kujiona miungu watu. Tunaomba likome
NDIO MIMI NI MBOVU WA MGUU LAKINI SIKO TAYARI KUITWA KILEMA
Apo umenena mkuu,,tena ata kuitwa mvumilivu na hawa ccm haifai mana ndowanapoona udhaif wetu ili hali tunataka katba mpya lakin hawap taar kwa kujal maslahi yaoTatizo hamjakuelewa aliyeleta mada,maana yake anataka watanzania waitwe wavumilivu siyo wanyonge.
Watanzania wanauwezo wakutafuta chakula nanmahitaji yako ya kila siku hata kama ni kipofu hivyo hawataki watanzania tuitwe wanyonge.
Nampongeza hata Mimi sipendi.kuitwa mnyonge waniite mvumilivu,maana nauwezo wa kuvumilia upuuzi na upumbavu wote wa Watawala wa CCM