Rais wa wanyonge, wanyonge wapi?

Rais wa wanyonge, wanyonge wapi?

Hizi kwangu mimi naziona kama ghiliba,kama kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!

Kutuita watanzania wanyonge watanzania masikini ni kutukejeli! Watanzania sio wanyonge bali ni wavumilivu na watu tunaoheshimiana.

Tunakutaka usituite wanyonge,huku ukitubomolea makazi yetu tena kwa kukiuka agizo la mahakama.

Unatuita wanyonge huku ukikataa kutuletea katiba mpya itakayo wawajibisha wapindisha haki na mafisadi wote wa serikali yako!

Unatuita wanyonge huku ukituingiza kwenye hasara kubwa kwa kukiuka naagizo ya mahakama.

Unatuita wanyonge huku ukitupiga danadana kuwaongeza mshahara wafanyakazi

Unatuita wanyonge huku ukiruhusu makampuni yapoteze ajira kwa watu wako kwa kushindwa kujiendesha

Hili jina la Watanzania wanyonge tunaona linatumika kujinufaisha kwa baadhi ya viongozi kujiona miungu watu. Tunaomba likome
Naam naomba kuwakilisha hili..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani uwongo?

- Katiba mpya katia kwapani

-Nunge live kaliweka kufiri

-Siasa na vyama vya siasa kazipiga makufuli

- Vyombo vya habari kaviziba midomo

- Polisi anawatumia kufungafunga watu bila makosa

Kweli Tanzania yetu nitaifa la wanyonge kunyongwa hovyo hovyo.

Pengine ndio unyonge wetu anapouona hapo, kutukandamiza apendavyo na sisi kushindwa kumshughulikia. Ila sasa anatutia hasira hawezi kutufanyia yote hayo kisha anatamba kuwa sisi ni wanyonge.
Wakati umefika wa kumuonyesha kuwa sisi sio wanyonge kwa vitendo
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hizi kwangu mimi naziona kama ghiliba,kama kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!

Kutuita watanzania wanyonge watanzania masikini ni kutukejeli! Watanzania sio wanyonge bali ni wavumilivu na watu tunaoheshimiana.

Tunakutaka usituite wanyonge,huku ukitubomolea makazi yetu tena kwa kukiuka agizo la mahakama.

Unatuita wanyonge huku ukikataa kutuletea katiba mpya itakayo wawajibisha wapindisha haki na mafisadi wote wa serikali yako!

Unatuita wanyonge huku ukituingiza kwenye hasara kubwa kwa kukiuka naagizo ya mahakama.

Unatuita wanyonge huku ukitupiga danadana kuwaongeza mshahara wafanyakazi

Unatuita wanyonge huku ukiruhusu makampuni yapoteze ajira kwa watu wako kwa kushindwa kujiendesha

Hili jina la Watanzania wanyonge tunaona linatumika kujinufaisha kwa baadhi ya viongozi kujiona miungu watu. Tunaomba likome
Kweli mkuu mimi sio mnyonge bali huwa namvumilia tu.
 
Yaani kwwny hizi comments za watu ndonimeamini watanzania bado sana ndomana tunaonewa kila kukicha,,tukidai haki zetu tunakandamizwa,,,yan mtu anatoa mtazamo wake sisi sio wanyonge bali wavumilivu na wastaarab lakin cha ajab mijinga humu ndani inamshambuliaa kama akina kanyinya upuuzi mtupuu

Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
 
Yaani kwwny hizi comments za watu ndonimeamini watanzania bado sana ndomana tunaonewa kila kukicha,,tukidai haki zetu tunakandamizwa,,,yan mtu anatoa mtazamo wake sisi sio wanyonge bali wavumilivu na wastaarab lakin cha ajab mijinga humu ndani inamshambuliaa kama akina kanyinya upuuzi mtupuu

Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
Kwamba yanafurahi kuitwa wanyonge?
 
Kweli nyinyi sio wanyonge maana mafisadi wote wamekimbilia kwenu

Tatizo hamjakuelewa aliyeleta mada,maana yake anataka watanzania waitwe wavumilivu siyo wanyonge.

Watanzania wanauwezo wakutafuta chakula nanmahitaji yako ya kila siku hata kama ni kipofu hivyo hawataki watanzania tuitwe wanyonge.

Nampongeza hata Mimi sipendi.kuitwa mnyonge waniite mvumilivu,maana nauwezo wa kuvumilia upuuzi na upumbavu wote wa Watawala wa CCM
 
Hizi kwangu mimi naziona kama ghiliba,kama kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!

Kutuita watanzania wanyonge watanzania masikini ni kutukejeli! Watanzania sio wanyonge bali ni wavumilivu na watu tunaoheshimiana.

Tunakutaka usituite wanyonge,huku ukitubomolea makazi yetu tena kwa kukiuka agizo la mahakama.

Unatuita wanyonge huku ukikataa kutuletea katiba mpya itakayo wawajibisha wapindisha haki na mafisadi wote wa serikali yako!

Unatuita wanyonge huku ukituingiza kwenye hasara kubwa kwa kukiuka naagizo ya mahakama.

Unatuita wanyonge huku ukitupiga danadana kuwaongeza mshahara wafanyakazi

Unatuita wanyonge huku ukiruhusu makampuni yapoteze ajira kwa watu wako kwa kushindwa kujiendesha

Hili jina la Watanzania wanyonge tunaona linatumika kujinufaisha kwa baadhi ya viongozi kujiona miungu watu. Tunaomba likome

NDIO MIMI NI MBOVU WA MGUU LAKINI SIKO TAYARI KUITWA KILEMA


Kila kitu kinaitwa uchochezi, hata hii mada watakuja kuiita uchochezi.
 
Tatizo hamjakuelewa aliyeleta mada,maana yake anataka watanzania waitwe wavumilivu siyo wanyonge.

Watanzania wanauwezo wakutafuta chakula nanmahitaji yako ya kila siku hata kama ni kipofu hivyo hawataki watanzania tuitwe wanyonge.

Nampongeza hata Mimi sipendi.kuitwa mnyonge waniite mvumilivu,maana nauwezo wa kuvumilia upuuzi na upumbavu wote wa Watawala wa CCM
Apo umenena mkuu,,tena ata kuitwa mvumilivu na hawa ccm haifai mana ndowanapoona udhaif wetu ili hali tunataka katba mpya lakin hawap taar kwa kujal maslahi yao

Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"
 
Back
Top Bottom