tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 22,189
- 29,748
Nchi la hovyo kabisa tanzania.
Katiba mpya na tume huru idaiwe mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katiba mpya na tume huru idaiwe mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijiangalie wewe angalia vizazi vijavyo vitanufaika vipi? Kauli kama ya kwako mara nyingi hutolewa na watu wanaolazimisha kila mtu afanane naye. Mfano yawezekana huna uwezo biologically wa kupata watoto kwa hiyo unasupport ujinga kwa kuwa unajua hakuna mnufaika wako mbeleni. Tofauti na son biologically unaweza hata mnunua mtoto katika vituo then akaja nufaika na Katiba kama ya Kenya people wangu.Hujielewi wewe
Unavumilia nini Sasa....ndiyo maana mnyonge!Hizi kwangu mimi naziona kama ghiliba,kama kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
Kutuita watanzania wanyonge watanzania masikini ni kutukejeli! Watanzania sio wanyonge bali ni wavumilivu na watu tunaoheshimiana.
Tunakutaka usituite wanyonge,huku ukitubomolea makazi yetu tena kwa kukiuka agizo la mahakama.
Unatuita wanyonge huku ukikataa kutuletea katiba mpya itakayo wawajibisha wapindisha haki na mafisadi wote wa serikali yako!
Unatuita wanyonge huku ukituingiza kwenye hasara kubwa kwa kukiuka naagizo ya mahakama.
Unatuita wanyonge huku ukitupiga danadana kuwaongeza mshahara wafanyakazi
Unatuita wanyonge huku ukiruhusu makampuni yapoteze ajira kwa watu wako kwa kushindwa kujiendesha
Hili jina la Watanzania wanyonge tunaona linatumika kujinufaisha kwa baadhi ya viongozi kujiona miungu watu. Tunaomba likome
NDIO MIMI NI MBOVU WA MGUU LAKINI SIKO TAYARI KUITWA KILEMA
Kwani dhambi kuwa Chadema?Umejawa na chuki nafikiri utakuwa CHAGADEMA wewe
sisi wengine tumemuelewa.Hujielewi wewe
ananiwakilisha na mimi hapa na ndugu zangu.
CCM hawataki katiba mpya wala tume huruNchi la hovyo kabisa tanzania.
Katiba mpya na tume huru idaiwe mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongeza njaa (umasikini). Mtu aliyeshiba (tajiri) hatawaliki kirahisi.Ukitaka kumtawala mtu vyovyote utakavyo mnyime elimu tu
Mku usimuhukumu mtu kwa itikadi kwani itikadi ni imani iliyo kamili kama zilivyo imani zingine.Kwani dhambi kuwa Chadema?
Usipotaja ukabila ndugu kwani hautaeleweka acheni hizo bana.Umejawa na chuki nafikiri utakuwa CHAGADEMA wewe
Ndo ukweli huo wanasiasa wana jiegesha sana kwenye Umaskin wa wapiga kura.Ni ukaghai wa kiwango cha LAMIHujielewi wewe
Na hao si wanyonge.Kama we una mitonyo ucfikir wote, wengne bila kushika jembe hawajala tena kwa mvua za mcmu
Statement imeeleweka ni ya kuomba arekebishe kauli wewe naona hujaelewa ila unamwabia mwenye hii thred hajielewi hebu soma tena hapo!!!!Hujielewi wewe
Wenye chuki huwajui?Mbona unajitoa akili?Umejawa na chuki nafikiri utakuwa CHAGADEMA wewe