Ha!ha! Just ha!ha!Tuna Rais wa wanyonge ki kwelikweli. Ukiwa mnyonge haimaanishi usiheshimu taratibu na sheria za maeneo unayotafuta riziki yako. Wapo wanyonge wengi wanaendelea kuziona juhudi za Rais katika kuwatumikia na kuboresha maisha yao. Kama unabisha waulize wakulima wa Korosho huko Mtwara, Waulize Wanafunzi wa Udsm waliokuwa wanalipa kodi ya pango laki 4 kwa miezi 4 tu.
Leo Ukawa (kama bado ina exist) wamenasa kwenye mtego! Kitendo cha kuwasusia wabunge wenzao wa upinzani ni kutangaza kutohitaji nguvu yao. Matokeo yake wanajenga upinzani uliogawanyika. Ngome iliyogawanyika haisimami.Wanyonge wa Lumumba
mkuu wale sio wabunge wa upunzanj. wale ni wabunge wa ccm kupitia cuf.Leo Ukawa (kama bado ina exist) wamenasa kwenye mtego! Kitendo cha kuwasusia wabunge wenzao wa upinzani ni kutangaza kutohitaji nguvu yao. Matokeo yake wanajenga upinzani uliogawanyika. Ngome iliyogawanyika haisimami.
Tuna Rais wa wanyonge ki kwelikweli. Ukiwa mnyonge haimaanishi usiheshimu taratibu na sheria za maeneo unayotafuta riziki yako. Wapo wanyonge wengi wanaendelea kuziona juhudi za Rais katika kuwatumikia na kuboresha maisha yao. Kama unabisha waulize wakulima wa Korosho huko Mtwara, Waulize Wanafunzi wa Udsm waliokuwa wanalipa kodi ya pango laki 4 kwa miezi 4 tu.
Logic imetumika hapaTumenyongwa kweli slogani za sisiem huwa zina maana sisi tunazipuuza tu kumbuka nginjanginja mpaka haharini tulizikwa baharini kweli mtaji wa masikini nguvu zake mwenyewe tuliona Ali mpya kasi mpya nguvu mpya tuliziona sasa ni msema kweli kweli kabisa wanyonge sasa tunanyongwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona umejitoa akili kiasi hicho?Leo Ukawa (kama bado ina exist) wamenasa kwenye mtego! Kitendo cha kuwasusia wabunge wenzao wa upinzani ni kutangaza kutohitaji nguvu yao. Matokeo yake wanajenga upinzani uliogawanyika. Ngome iliyogawanyika haisimami.