Rais wa ukweli, kipenzi cha watu wenye akili timamu

ZLATAN

Senior Member
Oct 5, 2010
150
18
Jamani, huwa mnamnukuu sana Hayati Julius Kambarage Nyerere, mbona hamumnukuu pale aliposema Ikulu si mahali pa majaribio?

Nafadhaika kuona rafiki, ndugu zangu na jamaa zangu.....tena wengine mnaonekana mna hekima, mbona la Slaa kwenda kufanya majaribio Ikulu hamlioni?

Hata Mtazameni rais wa ukweli.

Being Simple Doesn't Cost A Thing!
 
:A S 465:Jamani, huwa mnamnukuu sana hayati julius kambarage nyerere, mbona

hamumnukuu pale aliposema Ikulu si mahali pa majaribio?,nafadhaika kuona
:rain:

ndugu zangu na jamaa zangu.....tena wengine mnaonekana mna hekima, mbona la


:A S 465:SLAA kwenda kufanya majaribio Ikulu hamlioni?:hat:.


Mtazameni rais wa ukweli.:A S 465:



Being Simple Doesn't Cost A Thing!!!

Bange hizi


 
Last edited by a moderator:
:A S 465:Jamani, huwa mnamnukuu sana hayati julius kambarage nyerere, mbona

hamumnukuu pale aliposema Ikulu si mahali pa majaribio?,nafadhaika kuona
:rain:

ndugu zangu na jamaa zangu.....tena wengine mnaonekana mna hekima, mbona la


:A S 465:SLAA kwenda kufanya majaribio Ikulu hamlioni?:hat:.


Mtazameni rais wa ukweli.:A S 465:



Being Simple Doesn't Cost A Thing!!!

Angalia style ya mkwere na ccm yao

Kikwete ndani ya mtwara (update).....
Nipo hapa uwanjani (umoja), namba t437 apa, t945anz, t751anz(machinga trans)...na baadhi ya maroli yanasomba watu vibaya mno.....na sasa hivi hapo nje kuna mapikipiki na mabajaji mengi mno yanajaza mafuta kwenye hii sheli(kwa chingwile) yanaenda kumchukua jk(still watu uwanapigwa na jua tu jamaa bado hajaja-na sasa ni saa 7.15 mchana)...nishapiga picha ninazo...nitazi-update very soon. Stay tuned!!​
 
ghaaaaaaaaaaaa kumbe unajua JK hapati watu mpaka awasombe kwa malori na kutoa kanga, kofia na tshirt kwa watu ndio waje mkutanoni? Wakina Slaa hupata watu bila kuwasomba na malori au kutoa kanga na vinginevyo. Huyo sio rais wa ukweli ila ni masanii wa ukweli, Nakusikitikia ndugu yangu kuwa bado uanona JK ni chaguo lako, umeula wa chuya rafiki.
 
Tatizo la kupoteza kumbukumbu, kama umeshau Zlatan nakukumbusha, ni JK aliyesema kuwa apewe kipindi kingine cha miaka 5, maana miaka mitano iliyoisha alikuwa anajifunza kuongoza! sasa ni lini Slaa aliomba kwenda kujifunza ikulu?
 
01.jpg
 
Tatizo la kupoteza kumbukumbu, kama umeshau Zlatan nakukumbusha, ni JK aliyesema kuwa apewe kipindi kingine cha miaka 5, maana miaka mitano iliyoisha alikuwa anajifunza kuongoza! sasa ni lini Slaa aliomba kwenda kujifunza ikulu?
Ni kweli Naona jamaa amesahau ni vizuri kukumbushana kuwa jk ndo amefanya pa majaribio! upuuzi mtu anakuambia tumetimiza 60%, 40% zimeenda wapi??na miaka mingine mitano anajua anatakiwa kufika 140% au hajui kuwa anayabeba mwakani?? na hizi ahadi mpya huyu anajitwika mzigo mzito saana! bado anajaribu tuu???
 
Sitaki kuamini kama wewe ni mmoja wa wale watu wanaoamini " wingi wa mvi, ndo wingi wa busara". Yaani unashindwa hata kutofautisha tamasha la kisiasa na kampeni za kisiasa, hebu jaribu kuangalia hizo picha za kampeni za JK, halafu angalia na picha za kampeni za Dr.slaa halafu utofautishe.

Kampeni za Jk zimeambatana na wasanii wa Bongo flava, kofia, tshirt nk....! Unapoona wingi wa watu na hasa mikoani, ujue hawaendi kwenye kampeni za kisiasa, ila wanakwenda kwenye tamasha la kisiasa ambapo watasikiliza na kucheza muziki, huku wakipatiwa Tshirt na kofia. Unapaswa ujiulize kwa makini, NI KWELI WANANCHI WANAFATA SERA, AU TAMASHA LA KISIASA!
 
ZLATAN
user-online.png
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateTue Oct 2010Posts22Thanks0Thanked 1 Time in 1 Post

:A S 465:Jamani, huwa mnamnukuu sana hayati julius kambarage nyerere, mbona

hamumnukuu pale aliposema Ikulu si mahali pa majaribio?,nafadhaika kuona
:rain:

ndugu zangu na jamaa zangu.....tena wengine mnaonekana mna hekima, mbona la


:A S 465:SLAA kwenda kufanya majaribio Ikulu hamlioni?:hat:.


Mtazameni rais wa ukweli.:A S 465:



Being Simple Doesn't Cost A Thing!!!
 
bora hata huyo(mkwere) jk anatoa ma t.shirt na kofia kwa umati wa watu..ina maana chama chake kina hela yani ccm.na hata kama hicho chama (ccm)ni cha mafisadi basi naona sasa wameisha shiba kwaiyo waendelee kuiendesha nchi ili tuanze kuona matunda yake.

na sasa mnataka hicho chama kiachie wapewe watu kama(mchaga) SLAA ambaye hata jukwaani wanapewa msaada ya kibanda cha kusimamia,ambaye chama hakina hata uwezo wa kukodi speaker waiendeshe nchi wakati wao wenyewe wanaomba uchaguzi ufike lini ili wapate hela za misaada na wao ndio wanapatia kula hapohapo.na watu kama hawa wakipewa nchi basi mpaka chama chake kije kifikie kama ccm ujue ni miaka 50 ijayo ya ufisadi itaendelea

kwa iyo tuangalie sana:dance::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
bora hata huyo(mkwere) jk anatoa ma t.shirt na kofia kwa umati wa watu..ina maana chama chake kina hela yani ccm.na hata kama hicho chama (ccm)ni cha mafisadi basi naona sasa wameisha shiba kwaiyo waendelee kuiendesha nchi ili tuanze kuona matunda yake.

na sasa mnataka hicho chama kiachie wapewe watu kama(mchaga) SLAA ambaye hata jukwaani wanapewa msaada ya kibanda cha kusimamia,ambaye chama hakina hata uwezo wa kukodi speaker waiendeshe nchi wakati wao wenyewe wanaomba uchaguzi ufike lini ili wapate hela za misaada na wao ndio wanapatia kula hapohapo.na watu kama hawa wakipewa nchi basi mpaka chama chake kije kifikie kama ccm ujue ni miaka 50 ijayo ya ufisadi itaendelea

kwa iyo tuangalie sana:dance::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Hahahaaaa! Sijawahi kuona aina hii ya kufikiri in my entire life! Pathetic!
 
bora hata huyo(mkwere) jk anatoa ma t.shirt na kofia kwa umati wa watu..ina maana chama chake kina hela yani ccm.na hata kama hicho chama (ccm)ni cha mafisadi basi naona sasa wameisha shiba kwaiyo waendelee kuiendesha nchi ili tuanze kuona matunda yake.

na sasa mnataka hicho chama kiachie wapewe watu kama(mchaga) SLAA ambaye hata jukwaani wanapewa msaada ya kibanda cha kusimamia,ambaye chama hakina hata uwezo wa kukodi speaker waiendeshe nchi wakati wao wenyewe wanaomba uchaguzi ufike lini ili wapate hela za misaada na wao ndio wanapatia kula hapohapo.na watu kama hawa wakipewa nchi basi mpaka chama chake kije kifikie kama ccm ujue ni miaka 50 ijayo ya ufisadi itaendelea

kwa iyo tuangalie sana:dance::biggrin1::biggrin1::biggrin1:

Ungekuwepo wakati Nyerere anapigania uhuru wa Tanganyika, naamini ungemshauri Nyerere asijisumbue kupanda baiskeli na kuomba kuchangiwa nauli na wazee waasisi wa TANU ili kwenda kuwahamasisha watu kupigania uhuru wa nchi, bali awaache wazungu waendelee kutawala kwa kuwa tayari wana pesa za kutosha.

Malembeka, siyo lazima sana kwamab kila hoja uchangie, kama huna cha maana cha kuandika unaweza kunyamaza tu na kutafuta thread nyingine ambayo ni size yako.
 
Ndugu mtoa mada naomba ungeangalia kwanza hali za hao anaowaongoza na mazingira wanayoishi ndio uje hapa kutundika hizo pumba zako.Watu gani wenye akili timamu wanaweza kuchagua mtu kama huyu aliyeshindwa kubadili hali ya maisha yao japo kwa 25%.Wanaomchagua huyu si wenye akili timamu bali ni wanaofaidika na ufisadi na wale wasiojua thamani ya utu wao.
 
Tusubiri tu hiyo October 31, hizi mada za utabiri zitaisha. October 31 ni kati ya Mgonjwa Kifafa na Rais wa kwenye keyboards
 
:a s 465:jamani, huwa mnamnukuu sana hayati julius kambarage nyerere, mbona

hamumnukuu pale aliposema ikulu si mahali pa majaribio?,nafadhaika kuona
:rain:

Ndugu zangu na jamaa zangu.....tena wengine mnaonekana mna hekima, mbona la


:a s 465:slaa kwenda kufanya majaribio ikulu hamlioni?:hat:.


mtazameni rais wa ukweli.:a s 465:



Being simple doesn't cost a thing!!!

kwa dizaini hizi za watu tanzania kazi bado ipo!
 
:A S 465:Jamani, huwa mnamnukuu sana hayati julius kambarage nyerere, mbona

hamumnukuu pale aliposema Ikulu si mahali pa majaribio?,nafadhaika kuona
:rain:

ndugu zangu na jamaa zangu.....tena wengine mnaonekana mna hekima, mbona la


:A S 465:SLAA kwenda kufanya majaribio Ikulu hamlioni?:hat:.


Mtazameni rais wa ukweli.:A S 465:



Being Simple Doesn't Cost A Thing!!!

Kwani wanaochagua si ni wananchi,usubiri tu hapo siku ikifika.Halafu msichakachue,ndo hapo mtaona kama ikulu ni sehemu ya kujificha wabaka uchumi au la..........
 
Back
Top Bottom