ZLATAN
Senior Member
- Oct 5, 2010
- 150
- 18
Jamani, huwa mnamnukuu sana Hayati Julius Kambarage Nyerere, mbona hamumnukuu pale aliposema Ikulu si mahali pa majaribio?
Nafadhaika kuona rafiki, ndugu zangu na jamaa zangu.....tena wengine mnaonekana mna hekima, mbona la Slaa kwenda kufanya majaribio Ikulu hamlioni?
Hata Mtazameni rais wa ukweli.
Being Simple Doesn't Cost A Thing!
Nafadhaika kuona rafiki, ndugu zangu na jamaa zangu.....tena wengine mnaonekana mna hekima, mbona la Slaa kwenda kufanya majaribio Ikulu hamlioni?
Hata Mtazameni rais wa ukweli.
Being Simple Doesn't Cost A Thing!