Ujengelele
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 1,253
- 22
:A S 465:Jamani, huwa mnamnukuu sana hayati julius kambarage nyerere, mbona
hamumnukuu pale aliposema Ikulu si mahali pa majaribio?,nafadhaika kuona :rain:
ndugu zangu na jamaa zangu.....tena wengine mnaonekana mna hekima, mbona la
:A S 465:SLAA kwenda kufanya majaribio Ikulu hamlioni?:hat:.
Mtazameni rais wa ukweli.:A S 465:
Being Simple Doesn't Cost A Thing!!!