Tukubali na dalili tumeziona ingawa ndio kwanza, nchi inafunguka kila pembe, hela zimeanza kuzagaa, watu wamejawa na furaha na tabasamu si la kawaida - Hongera Rais Samia Hasan Al Zinjibar, nuru imezagaa kila kona ya Tanzania kama ni Mwenge basi wewe ndie Mwenge wenyewe, endelea kumulika.
Tatizo ni wale waliojaa ukabila na wazembe ambao Mwalimu Nyerere aliwapiga vita sana watu hawa ambao ni maadui wa maendeleo.
Raisi Samia kwa hapo ilipo usimuonee haya mvivu mzembe, wazururaji kwanza waache mpaka mambo yamekaa sawa na ajira zimekuwa za kumwaga. Hii utalianza baada ya mikakati ya miradi mikubwa mikubwa kuanza usajili wa wa Tanzania.
Kwenye uongozi wako naamini huenda ikafika siku Tanzania ikahitajia wafanyakazi kutoka nchi zingine. CCM mkija mara ingine tuwekeeni mgombea Uraisi kutoka ZANZIBAR.
Tatizo ni wale waliojaa ukabila na wazembe ambao Mwalimu Nyerere aliwapiga vita sana watu hawa ambao ni maadui wa maendeleo.
Raisi Samia kwa hapo ilipo usimuonee haya mvivu mzembe, wazururaji kwanza waache mpaka mambo yamekaa sawa na ajira zimekuwa za kumwaga. Hii utalianza baada ya mikakati ya miradi mikubwa mikubwa kuanza usajili wa wa Tanzania.
Kwenye uongozi wako naamini huenda ikafika siku Tanzania ikahitajia wafanyakazi kutoka nchi zingine. CCM mkija mara ingine tuwekeeni mgombea Uraisi kutoka ZANZIBAR.