Rais wa Poland aionya Afrika dhidi ya jaribio jipya la ukoloni wa Urusi kupitia masuala ya Usalama na Nishati

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,024
1,616
Rais wa Poland Andrzej Duda ameonya mataifa ya Afrika kuwa makini na kile alichokiita sera ya kifalme ya Urusi kutokana na kuongezeka kwa ushawishi wake katika masuala ya usalama na nishati

Amedai kuwa Urusi ilikuwa ikitumia Kundi la Wagner (kampuni ya usalama ya kibinafsi) kama "chombo chake cha kijeshi" barani Afrika chenye matokeo ya " kinyama na ya kikatili"

Hii ni baada ya Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov ya Julai, 2022 kuonesha nguvu ya kidiplomasia ya nchi hiyo alipotembelea Nchi za Misri, Ethiopia, Uganda na Congo-Brazzaville

..................................................

Polish President Andrzej Duda has warned African nations to be wary of what he called Russia’s imperial policy towards the continent.

In an interview with the BBC, Mr Duda said Russia's growing influence in Africa in the areas of security and energy was a "new attempt at colonization".

He claimed Kremlin was using the Wagner Group – a private security firm - as its "military tool"’ in Africa with "ruthless and brutal" consequences.

The Polish president recently visited three African countries - Nigeria, Senegal and Ivory Coast - in an attempt to boost relations with the continent and explore alternatives to Russian oil and gas in the wake of a global energy crisis.

Russia's Foreign Minister Sergei Lavrov in July showed the country's diplomatic clout in Africa during his four-nation tour to Egypt, Ethiopia, Uganda and Congo-Brazzaville.

The second Russia-Africa summit is due to be held in Ethiopia in October, where trade and defence deals could be signed to strengthen relations.

Source: BBC
 
Rais wa Poland Andrzej Duda ameonya mataifa ya Afrika kuwa makini na kile alichokiita sera ya kifalme ya Urusi kutokana na kuongezeka kwa ushawishi wake katika masuala ya usalama na nishati

Amedai kuwa Urusi ilikuwa ikitumia Kundi la Wagner (kampuni ya usalama ya kibinafsi) kama "chombo chake cha kijeshi" barani Afrika chenye matokeo ya " kinyama na ya kikatili"

Hii ni baada ya Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov ya Julai, 2022 kuonesha nguvu ya kidiplomasia ya nchi hiyo alipotembelea Nchi za Misri, Ethiopia, Uganda na Congo-Brazzaville

..................................................

Polish President Andrzej Duda has warned African nations to be wary of what he called Russia’s imperial policy towards the continent.

In an interview with the BBC, Mr Duda said Russia's growing influence in Africa in the areas of security and energy was a "new attempt at colonization".

He claimed Kremlin was using the Wagner Group – a private security firm - as its "military tool"’ in Africa with "ruthless and brutal" consequences.

The Polish president recently visited three African countries - Nigeria, Senegal and Ivory Coast - in an attempt to boost relations with the continent and explore alternatives to Russian oil and gas in the wake of a global energy crisis.

Russia's Foreign Minister Sergei Lavrov in July showed the country's diplomatic clout in Africa during his four-nation tour to Egypt, Ethiopia, Uganda and Congo-Brazzaville.

The second Russia-Africa summit is due to be held in Ethiopia in October, where trade and defence deals could be signed to strengthen relations.

Source: BBC
Wananchi wa Poland wamejaza na Ulaya kutafuta vibarua kujikimu anatuambia nini huyo kibaraka
 
Mbeya technology ikaja kuwa mist ambayo sasaivi must ilijengwa nanani?
Insignificant relative to what US and UK have been doing.
Maji kikombe kwenye bahari.
Nitajie shule ya chekechea unaniletea vyuo akili za kirussia hizi ndio maana HIMARS 12 zimewabomoa kwa saa 48 kwani hamjui markings
 
Rais wa Poland Andrzej Duda ameonya mataifa ya Afrika kuwa makini na kile alichokiita sera ya kifalme ya Urusi kutokana na kuongezeka kwa ushawishi wake katika masuala ya usalama na nishati

Amedai kuwa Urusi ilikuwa ikitumia Kundi la Wagner (kampuni ya usalama ya kibinafsi) kama "chombo chake cha kijeshi" barani Afrika chenye matokeo ya " kinyama na ya kikatili"

Hii ni baada ya Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov ya Julai, 2022 kuonesha nguvu ya kidiplomasia ya nchi hiyo alipotembelea Nchi za Misri, Ethiopia, Uganda na Congo-Brazzaville

..................................................

Polish President Andrzej Duda has warned African nations to be wary of what he called Russia’s imperial policy towards the continent.

In an interview with the BBC, Mr Duda said Russia's growing influence in Africa in the areas of security and energy was a "new attempt at colonization".

He claimed Kremlin was using the Wagner Group – a private security firm - as its "military tool"’ in Africa with "ruthless and brutal" consequences.

The Polish president recently visited three African countries - Nigeria, Senegal and Ivory Coast - in an attempt to boost relations with the continent and explore alternatives to Russian oil and gas in the wake of a global energy crisis.

Russia's Foreign Minister Sergei Lavrov in July showed the country's diplomatic clout in Africa during his four-nation tour to Egypt, Ethiopia, Uganda and Congo-Brazzaville.

The second Russia-Africa summit is due to be held in Ethiopia in October, where trade and defence deals could be signed to strengthen relations.

Source: BBC
Urusi hawana issue wala hakuna nchi za Africa zinazomuendekeza, huwezi kuwa kiongozi wa dunia halafu ukaenda kuitembelea Uganda na Ethiopia kwa kuishaiwishi dunia na ukaacha nchi zote za maana. Ni wazi Putini hana tena ushawishi ulimwenguni, sera zake na itikadi yake ni kuendelea kusalia madarakani ndio mana alimtembela M7 dekteta mwenzake.

Mimi toka nizaliwe Rais wa Uganda ni M7., na siku akichoka mwanae anafuatia ambaye saivi ashampachika mavyeo jeshini huko.
 
Back
Top Bottom