Rais wa Misri Abdel Fattah el-Sisi, aleta neema Tanzania Kiuchumi, Elimu, Afya na Utalii, Kiwanda cha nyama Kujengwa

Hope atamuomba package ya kilimo cha jangwani sio aombe kujengewa uwanja was mpira tena

Psalm 133:1 "Behold, how good and how pleasant it is for brethren to dwell together in unity."
 
Hivi al-Sisi ndiye yule alipindua raisi aliyechaguliwa kihalali na kila uchwao anawahukumu kifo wapinzani wake pamoja na kuwafunga?
Ni kweli mkuu,hata waandishi wa habari hasa wa Al jazeera ni wahanga wakuu wa utawala wa huyu jamaa.
 
naona tbc wako live, huyo abdel fatah sioni kama anaimpact kwenye matokeo chanya ya uchumi wa viwanda unaozungumziwaga tanganyika


Al-Sisi angekuwa anaweza kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda basi Egypt ingekuwa industrialized economy zamani.

Hivi kwa nini mnasubiri wageni wawaletee maendeleo ambayo wao wenyewe hawana?

Rais wa Egypt anakuja Tanzania for a specific and strategized two-pronged agenda. Moja anafatilia mashamba ya nafaka ambayo Kikwete aliwapa walime wapakie mazao kwenye ndege wakalishe watu wao. Wamepata habari kwamba kuna a populist firebrand president anaetaifisha mali zilizogawiwa kuwafaidisha mabeberu na mabepari.

Second, anakuja kujikomba kwa Magufuli administration wasije kufuta Mkataba wa 1929 unaokataza Tanzania kugusa maji ya Ziwa Victoria ili mkondo wa Mto Nile usibugudhiwe.

In return tutakachopata sisi ni ahadi za kusaidiwa utafiti wa kilimo na pia wataandika hundi ya kujengea misikiti. Muarabu akitaka kuingia kwenye kichwa cha Mwafrika anamuahidi Msikiti.
 
Huyu Elsisi ni dini gani vile? Magufuli yupo very selective kupokea maRais wanaokuja Tanzania , karibu Tanzania Alsisi ulompindua Rais wa Muslim Brotherhood.
 
Al-Sisi angekuwa anaweza kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda basi Egypt ingekuwa industrialized economy zamani sana.

Hivi kwa nini mnasubiri wageni wawaletee maendeleo ambayo wao wenyewe hawana?

Rais wa Egypt anakuja Tanzania for a specific and strategized two-pronged agenda. Moja anafaitilia mashamba ya nafaka ambayo Kikwete aliwapa walime wapakie kwenye ndege wapeleke Egypt yasije taifishwa

Second, anakuja kumsujudia Magufuli asijekufuta Mkataba wa 1929 unaokataza Tanzania kugusa maji ya Ziwa Victoria ili mkondo wa Mto Nile usibugudhiwe.

In return tutakachopata sisi ni ahadi za kusaidiwa kwenye utafiti wa kilimo na pia wataandika cheki ya kujengea misikiti. Muaraba akitaka kuingia kwenye kichwa cha Mwafrika anamuahidi Msikiti.

Umenena maneno ya Maana sana sana! Wa Egypt wanategema sana River Nile kwenye maisha yao! na chanzo cha River Nile ni Ziwa Victoria, sasa wameshaona Mtukufu hatabiriki Teh Teh Teh hataki mafisadi! sasa wameona bora waje wajiwahi ili magufuli asije kufukua mikataba yakawakuta ya makinikia! ila kama mkataba umekaa kifisadi UFUMULIWE TU! kwanini nasisi tusifaidike na hayo maji?

Kuna mikoa haina maji wakati ziwa lipo ! kwanini liwafaidishe wamisri na sio sisi?
 
Back
Top Bottom