Rais wa Ethiopia kutembelea Tanzania kwa ziara ya siku moja

Ethiopia or Somalia 🤔 au umeona vibaya? Mie sisikiag wa Ethiopia wakikamatwa sana, n normal tuu
 
Kwa hiyo akiwa Chato huwa anafanya hivyo kuisha ujenzi Siyo....!!
 
Mabavicha yalichobaki nacho kwa sasa ni kuipigia debe corona tu basi
Ushauri basi hata wabure ,waongelee wale mwewe wetu waliogeuka kuku na kubaki kutafuta windo ardhini,ili mambo yaende.Kama uumzalendo wa kweli,ila kama maslahi piga kimya.
 
Ushauri basi hata wabure ,waongelee wale mwewe wetu waliogeuka kuku na kubaki kutafuta windo ardhini,ili mambo yaende.Kama uumzalendo wa kweli,ila kama maslahi piga kimya.
Huyo ni mpigania tumbo lake tu kila kukicha anajipendekeza ili angalau apate kauteuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…