Hechinodemata
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,467
- 3,225
Njaa itakumaliza wewe karumekenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa itakumaliza wewe karumekenge
Huko ndiko "makao makuu" ya siku hiziHuko huko Chato tena?
Kwani wanaufipa hawajui kama Chato napo ni Tanzania??Unaulizia ndevu kwa Osama?
Hahaha sasa mtu kama wewe mfia meko utaongea nini?Unajiona una akili mwenyeweee
PumbafKabisaaa. Mkuu hapa panaitwa watakuja tuu huyu ndo magu bhana ......watnzania tunampenda ufipa kaeni kushotroooooo
Umemaliza kazi mkuuHahaha sasa mtu kama wewe mfia meko utaongea nini?
Sihangaiki na mazuzuKwani wanaufipa hawajui kama chato napo ni tanzania??
Kwa sauti ya "saccos" kuweka na kukopa kwa maamuzi ya Mwenyekiti wa Maisha ya domokrasia tunayoipigia sendNasema uongo ndg zanguuuuuuuu?
Mazuzu nilile litapeli liligaragazwa halafu likatimukia ugaibuniiSihangaiki na mazuzu
Ethiopia or Somalia 🤔 au umeona vibaya? Mie sisikiag wa Ethiopia wakikamatwa sana, n normal tuuJe ataweza kutuambia kwa nini raia zake wengi wanakamatwa kama wahamiaji haramu tena wana-risk maisha yao kwa kusafirishwa katika njia hatarishi na maisha yao?
Maisha ya mtu mmoja mmoja yana thamani kuliko siasa chafu za kukandamiza watu na maendeleo yasiyoakisi hali za watu.
Kwa hiyo akiwa Chato huwa anafanya hivyo kuisha ujenzi Siyo....!!Hata hamuwezi kufikiri. Dodoma ikulu bado ujenzi unaendelea huenda amepisha ujenzi halafu Chato sio mahali pa kawaida kwa sasa ni nyumbani kwa rais wa jamhuri na ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kama mtu roho inauma gombea urais ukipata utaona kama mtu atakukataza kwenda kwenu hasa kama mama yako ni mgonjwa.
Sauti imetosha?Mazuzu nilile litapeli liligaragazwa halafu likatimukia ugaibunii
Kaliulize lile la ughaibuni lijamaa yenuuSauti imetosha?
Ushauri basi hata wabure ,waongelee wale mwewe wetu waliogeuka kuku na kubaki kutafuta windo ardhini,ili mambo yaende.Kama uumzalendo wa kweli,ila kama maslahi piga kimya.Mabavicha yalichobaki nacho kwa sasa ni kuipigia debe corona tu basi
Mwambie aongeze sauti,huenda atasikiwa.Sauti imetosha?
Huyo ni mpigania tumbo lake tu kila kukicha anajipendekeza ili angalau apate kauteuziUshauri basi hata wabure ,waongelee wale mwewe wetu waliogeuka kuku na kubaki kutafuta windo ardhini,ili mambo yaende.Kama uumzalendo wa kweli,ila kama maslahi piga kimya.
Kwakuwa michango yako hautumii akili bali unatumia nguvu nyingi kutapika basi nakupiga ban ili nisione huo uchafu wakoKaliulize lile la ugaibuni lijamaa yenuu
Swali gumu sana kwa huyo chumia tumbo wa koromitjeKwa hiyo akiwa Chato huwa anafanya hivyo kuisha ujenzi Siyo....!!
Michango anayo yule tapeli anayeishi Ubelgiji baada ya kukwepa aibu ya kugaragazwaa.Kwakuwa michango yako hautumii akili bali unatumia nguvu nyingi kutapika basi nakupiga ban ili nisione huo uchafu wako