Rais wa Ethiopia kutembelea Tanzania kwa ziara ya siku moja

Je ataweza kutuambia kwa nini raia zake wengi wanakamatwa kama wahamiaji haramu tena wana-risk maisha yao kwa kusafirishwa katika njia hatarishi na maisha yao?
Maisha ya mtu mmoja mmoja yana thamani kuliko siasa chafu za kukandamiza watu na maendeleo yasiyoakisi hali za watu.
" Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja" Ahadi ya 1 Mwana TANU.Natamani Rais wetu abatilishe baadhi sheria uhamiaji tulizo copy kwa Wazungu, dhidi ya madhila ndugu zetu wa Ethiopia na Somalia wanaopita njia kujitafutia riziki. Tunapoteza kipato utalii wa ndani pia wangeweka ada kidogo na kibali mpakani,boda.
 
Je ataweza kutuambia kwa nini raia zake wengi wanakamatwa kama wahamiaji haramu tena wana-risk maisha yao kwa kusafirishwa katika njia hatarishi na maisha yao?
Maisha ya mtu mmoja mmoja yana thamani kuliko siasa chafu za kukandamiza watu na maendeleo yasiyoakisi hali za watu.
Nenda kawaulize hao wahamiaji haramu, usituchoshe bana aah😡!
 
Hata hamuwezi kufikiri. Dodoma ikulu bado ujenzi unaendelea huenda amepisha ujenzi halafu Chato sio mahali pa kawaida kwa sasa ni nyumbani kwa rais wa jamhuri na ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Kama mtu roho inauma gombea urais ukipata utaona kama mtu atakukataza kwenda kwenu hasa kama mama yako ni mgonjwa.
Si aseme shida iko wapi? hizo Ikulu ni zetu Wananchi na tunataka akae na kufanyia shughuli zetu huko.
 
Hapa panaitwa mtakuja tu, hongera Magufuli
Hivi kweli hata wewe unashangilia ujio wa Kiongizi huyo ambae raia wake wamekuwa wakikamatwa mara kwa mara nchini mwetu wakiwa wamejazana kwenye malori wakijaribu kuikimbia nchi yao?? Anafaida gani kwa nchi yetu huyo??
 
Je ataweza kutuambia kwa nini raia zake wengi wanakamatwa kama wahamiaji haramu tena wana-risk maisha yao kwa kusafirishwa katika njia hatarishi na maisha yao?
Maisha ya mtu mmoja mmoja yana thamani kuliko siasa chafu za kukandamiza watu na maendeleo yasiyoakisi hali za watu.
Hana majibu kama huku
 
Yani meko hakuna akili hata moja.

Nadhani ana list ya watu wa kuwaalika chato.
Hataki kupoe kabisa.

Atakuja kumualika Elton John bila kujua.

List ikiisha itabidi wamualike jame delicious na kina amber ruty ili mradi chato iandikwe andikwe.

Huyu rais wa ET hana ushawishi na hakuna lolote tz itakalofaidika nalo.
Bure kabisa. Labda atazuia mharamia wanaopitia hapa kwenda SA
Unajiona una akili mwenyeweee
 
Hata hamuwezi kufikiri. Dodoma ikulu bado ujenzi unaendelea huenda amepisha ujenzi halafu Chato sio mahali pa kawaida kwa sasa ni nyumbani kwa rais wa jamhuri na ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Kama mtu roho inauma gombea urais ukipata utaona kama mtu atakukataza kwenda kwenu hasa kama mama yako ni mgonjwa.
Kwa hiyo mkuu wa wilaya ya Chemba akiuguliwa na mama yake anahamia kwao na shughuli zote za serikali?
 
Je ataweza kutuambia kwa nini raia zake wengi wanakamatwa kama wahamiaji haramu tena wana-risk maisha yao kwa kusafirishwa katika njia hatarishi na maisha yao?
Maisha ya mtu mmoja mmoja yana thamani kuliko siasa chafu za kukandamiza watu na maendeleo yasiyoakisi hali za watu.
Kwa hili kiukweli linashangaza,,mwaka jana mwishoni nilienda uhamiaji mkoa mmoja hivi kushughulikia passport,,niliumia sana kuwakuta vijana karibia 30 ethiopian na wadogo kbs wengine wamerundikwa pale..na mara nyingi wanakamatwa...Yaani bongo tunalalamika maisha magumu na changamoto za sasa but real life kea wenzetu ni tatizo sana
 
Kweli huyu raisi sio m Tigray kweli ama ni mu omoro jamani. Aje atuambie kuwa amewafanyeje kizazi cha Suleiman kule mana wametengwa hawapewi madaraka saivi wanachukua wachunga ng'ombe mana na huku nako kagame kaweka watutsi wenzake madarakani yaani jaribu kumsoma ntamaholo anavyochambua safu ya uongozi Wa kagame
 
Chato ina kila sababu ya kujivunia kutoa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Screenshot_2021-01-24-19-18-46.png
 
Back
Top Bottom