Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,289
- 2,412
Chamwino is under construction jiongeze.Huko huko Chato tena?
Chamwino is under construction jiongeze.Huko huko Chato tena?
... Rais wa Ethiopia ni ceremonial figure; hana mamlaka yoyote kiutendaji. Ingekuwa Abiy Ahmed (PM) angalau inge-make sense.Yani meko hakuna akili hata moja.
Nadhani ana list ya watu wa kuwaalika chato....
" Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja" Ahadi ya 1 Mwana TANU.Natamani Rais wetu abatilishe baadhi sheria uhamiaji tulizo copy kwa Wazungu, dhidi ya madhila ndugu zetu wa Ethiopia na Somalia wanaopita njia kujitafutia riziki. Tunapoteza kipato utalii wa ndani pia wangeweka ada kidogo na kibali mpakani,boda.Je ataweza kutuambia kwa nini raia zake wengi wanakamatwa kama wahamiaji haramu tena wana-risk maisha yao kwa kusafirishwa katika njia hatarishi na maisha yao?
Maisha ya mtu mmoja mmoja yana thamani kuliko siasa chafu za kukandamiza watu na maendeleo yasiyoakisi hali za watu.
madikiteita wanatafutana walipoHapa panaitwa mtakuja tu, hongera Magufuli
Nenda kawaulize hao wahamiaji haramu, usituchoshe bana aah😡!Je ataweza kutuambia kwa nini raia zake wengi wanakamatwa kama wahamiaji haramu tena wana-risk maisha yao kwa kusafirishwa katika njia hatarishi na maisha yao?
Maisha ya mtu mmoja mmoja yana thamani kuliko siasa chafu za kukandamiza watu na maendeleo yasiyoakisi hali za watu.
Si aseme shida iko wapi? hizo Ikulu ni zetu Wananchi na tunataka akae na kufanyia shughuli zetu huko.Hata hamuwezi kufikiri. Dodoma ikulu bado ujenzi unaendelea huenda amepisha ujenzi halafu Chato sio mahali pa kawaida kwa sasa ni nyumbani kwa rais wa jamhuri na ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kama mtu roho inauma gombea urais ukipata utaona kama mtu atakukataza kwenda kwenu hasa kama mama yako ni mgonjwa.
Hivi kweli hata wewe unashangilia ujio wa Kiongizi huyo ambae raia wake wamekuwa wakikamatwa mara kwa mara nchini mwetu wakiwa wamejazana kwenye malori wakijaribu kuikimbia nchi yao?? Anafaida gani kwa nchi yetu huyo??Hapa panaitwa mtakuja tu, hongera Magufuli
Wewe stroke mbona umebadili jina?Karibu Sana Tanzania ndugu yake Haile Selaisie.
Hana majibu kama hukuJe ataweza kutuambia kwa nini raia zake wengi wanakamatwa kama wahamiaji haramu tena wana-risk maisha yao kwa kusafirishwa katika njia hatarishi na maisha yao?
Maisha ya mtu mmoja mmoja yana thamani kuliko siasa chafu za kukandamiza watu na maendeleo yasiyoakisi hali za watu.
Unajiona una akili mwenyeweeeYani meko hakuna akili hata moja.
Nadhani ana list ya watu wa kuwaalika chato.
Hataki kupoe kabisa.
Atakuja kumualika Elton John bila kujua.
List ikiisha itabidi wamualike jame delicious na kina amber ruty ili mradi chato iandikwe andikwe.
Huyu rais wa ET hana ushawishi na hakuna lolote tz itakalofaidika nalo.
Bure kabisa. Labda atazuia mharamia wanaopitia hapa kwenda SA
Kwa hiyo mkuu wa wilaya ya Chemba akiuguliwa na mama yake anahamia kwao na shughuli zote za serikali?Hata hamuwezi kufikiri. Dodoma ikulu bado ujenzi unaendelea huenda amepisha ujenzi halafu Chato sio mahali pa kawaida kwa sasa ni nyumbani kwa rais wa jamhuri na ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kama mtu roho inauma gombea urais ukipata utaona kama mtu atakukataza kwenda kwenu hasa kama mama yako ni mgonjwa.
Kwa hili kiukweli linashangaza,,mwaka jana mwishoni nilienda uhamiaji mkoa mmoja hivi kushughulikia passport,,niliumia sana kuwakuta vijana karibia 30 ethiopian na wadogo kbs wengine wamerundikwa pale..na mara nyingi wanakamatwa...Yaani bongo tunalalamika maisha magumu na changamoto za sasa but real life kea wenzetu ni tatizo sanaJe ataweza kutuambia kwa nini raia zake wengi wanakamatwa kama wahamiaji haramu tena wana-risk maisha yao kwa kusafirishwa katika njia hatarishi na maisha yao?
Maisha ya mtu mmoja mmoja yana thamani kuliko siasa chafu za kukandamiza watu na maendeleo yasiyoakisi hali za watu.
Corona itamfuata huko huko chato alikojificha.Mabavicha yalichobaki nacho kwa sasa ni kuipigia debe corona tu basi
Siyo mawaziri mpaka masekretari wanaenda kusainisha mafaili chato yani chato sasa imekuwa kama sehemu ya serikali.Naona mawaziri wanapiga per-diem za Chato