Rais wa Ethiopia awasili Chato mkoani Geita. Rais Magufuli aahaidi kuwaachia wahamiaji haramu 1789 kutoka Ethiopia bila masharti

  1. Jela zetu zina wahabeshi waliofungwa kwa kuingia nchini bila kibali.
  2. Mgogoro wa Ethiopia katika jimbo la Tigray
  3. Mgogoro wa Ethiopia,udan na Misri katika matumizi ya mto maji ya mto Nile.
Nahisi #3 ndilo lanaelekea kuwa lengo kuu.
 
Yote haya yanafanyika ku-justify ujenzi wa uwanja wa Chattle.

Anyway: Chorus za TL wakati wa kampeni bado zinawapelekesha mputaputa
 
  1. Jela zetu zina wahabeshi waliofungwa kwa kuingia nchini bila kibali.
  2. Mgogoro wa Ethiopia katika jimbo la Tigray
  3. Mgogoro wa Ethiopia,udan na Misri katika matumizi ya mto maji ya mto Nile.
Nahisi #3 ndilo lanaelekea kuwa lengo kuu.
Huyo namba 3 nadhan ina uzito ila ukitegemea Ethiopia waziri mkuu ndo mwenye nguvu ni vema angekuja yeye kulipa uzito suala holo
 
Dah....kama tukichanganya damu na hawa Waethiopia…...miaka 20 ijayo tutajaza pisi kali nyingi mitaa ya Posta :p
 
Hawa jamaa ni wataalamu wa biashara ya abiria na ununuzi wa ndege tunajifunza nini kwao utalii nao ni biashara huko Ethiopia tusimwachie aondoke bila kutuachia kitu
Kaja Rais,huyu ni Mmama na siyo Waziri mkuu ambaye ni mwanaume
Hiyo nchi ni masikini kuliko nchi yetu sisi ,ndio maana wanakamtwa hapa kibao wakipita njia za panya kutorokea nchi za kusini
Nchi ina mandege ila wananchi wana maisha magumu sana. Kumbuka Elitrea imejitenga kutoka hum tena kwa mtutu , na sasa hivi kuna kajimbo kengine kanapambana kujitenga
hatuna cha kujifunza kwao
 
Kuna Waethopia wengi gerezani nchini kwa kosa la kujaribu kupita Tanzania kwenda Afrika ya Kusini nchi ya maziwa na asali lakini wanazuiwa lupango wakihudumiwa na Serikali ya Tz miaka na miaka Ethiopia ikikosa manufaa yoyote. Kama wangerudishwa kwao wangelipa kodi nchi yao na watu wake wangenufaika au wangeachiwa waendelee na safari yao mpaka Afrika ya Kusini wao na familia zao wangenufaika na Serikali yao na wananchi kwa jumla wangenufaika kwa fedha za kigeni ambazo wafungwa hawa wangetuma nyumbani kwa familia zao. Tanzania ina woga wa kijinga dhidi ya wahamiaji haramu ambao hawapo maana siku hizi nchi hii haina mvuto tena kwa hiyo hakuna mhamiaji mwenye akili timamu atafanya uamuzi kwa hiari yake kuhamia hapa akijua mateso kama hayo atakayopata. Ni dhahiri Rais wao amekuja kwa mazungumzo ya faragha ili raia wake waliofungwa hapa warudi kwao na watakaokuja waachiwe wapite kwa usalama waende waendako ili Tanzania isiendelee kupata hasara ya kugharamia kuwepo kwao nchini. Tutegemee viongozi wetu watamwelewa msomi huyo!
Mara kadhaa nimekuwa nikalumu Sana Uhuru wa maoni, Mtu Kama wewe unasema kabisa hao wanaoingia bila vibali nchini wakielekea south waachwe kisa tu wanaenda south, Tena unasema wasindikizwe Hadi mpakani. Bila kujua hata hizi nchi wanapoelekea nao wanasheria zao za watu kuingia nchini mwao.
Ujinga ni mzigo sana. Sheria zipo wazi kabisa hakuna nchi inayoweza kuruhusu kutumika Kama njia ya haramu kwenda nchi nyingine na ikithibitika mnawaruhusu basi kesi yake ni kubwa Sana
Kama wanahitaji kwenda South Africa, njia rasmi na sahihi zipo. Watakata ticket ya kwenda huko kwa ndege au wanaweza kuunga kwa basi, na hapo lazima wawe na nyaraka halali za kuingia nchi yoyote.
HAKUNA NCHI INAYORUHUSU Mtu yoyote kupita nchi yao bila vibali.
Hata huko Ethiopia wanawakamata Sana watu kutoka Eritrea walioingia kinyemela nchini mwao
....fv....ck....Uhuru wa maoni....
 
Kuna Waethopia wengi gerezani nchini kwa kosa la kujaribu kupita Tanzania kwenda Afrika ya Kusini nchi ya maziwa na asali lakini wanazuiwa lupango wakihudumiwa na Serikali ya Tz miaka na miaka Ethiopia ikikosa manufaa yoyote. Kama wangerudishwa kwao wangelipa kodi nchi yao na watu wake wangenufaika au wangeachiwa waendelee na safari yao mpaka Afrika ya Kusini wao na familia zao wangenufaika na Serikali yao na wananchi kwa jumla wangenufaika kwa fedha za kigeni ambazo wafungwa hawa wangetuma nyumbani kwa familia zao. Tanzania ina woga wa kijinga dhidi ya wahamiaji haramu ambao hawapo maana siku hizi nchi hii haina mvuto tena kwa hiyo hakuna mhamiaji mwenye akili timamu atafanya uamuzi kwa hiari yake kuhamia hapa akijua mateso kama hayo atakayopata. Ni dhahiri Rais wao amekuja kwa mazungumzo ya faragha ili raia wake waliofungwa hapa warudi kwao na watakaokuja waachiwe wapite kwa usalama waende waendako ili Tanzania isiendelee kupata hasara ya kugharamia kuwepo kwao nchini. Tutegemee viongozi wetu watamwelewa msomi huyo!
Hii nadharia ya kutumia Kodi zetu kuwagharamia wapitaji inaleta walakini.
Bora iwaachie tu maana hata ukimfunga at the end atamaliza mda wake utamuachia tu sasa nn hii,si bora umuachie kabla ajakutia hasara na gharama za kuhudumia jela.
 
Mara kadhaa nimekuwa nikalumu Sana Uhuru wa maoni, Mtu Kama wewe unasema kabisa hao wanaoingia bila vibali nchini wakielekea south waachwe kisa tu wanaenda south, Tena unasema wasindikizwe Hadi mpakani. Bila kujua hata hizi nchi wanapoelekea nao wanasheria zao za watu kuingia nchini mwao...
Mawazo ya mwenzio yana ujinga gani?You are so stupid!!

Wahamiaji wanaolekea Ulaya in either huelekezwa pa kuelekea au hurudishwa kwao.

Wanafungwa wenye rekodi ya Uhalifu.
 
Ingekuwa enzi ya utawala wa mwanadiplomasia Kikwete #2 na #3 zingekuwa muhimu sana.
hata wakati huu, kumbuka tuna mipango mingi ya muda mrefu na mfupi ya kutumia maji ya ziwa victoria (chanzo cha mto nile) kiuchumi.
 
Mawazo ya mwenzio yana ujinga gani?You are so stupid!!
Wahamiaji wanaolekea Ulaya in either huelekezwa pa kuelekea au hurudishwa kwao.
Wanafungwa wenye rekodi ya Uhalifu.
Wewe na huyo juha mwenzio wetu ni WAJINGA mliopitiliza
Hao ni wahamiaji halali. HAKUNA nchi yoyote INAYORUHUSU wahamiaji haramu(wasio na vibali).
Hata hapa Kuna njia za kuingia Kama mhamiaji, njia za halali kabisa. Wahutu wpao wengi tu kwa njia hiyo halali.
 
Back
Top Bottom