ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
haa haa, kwa nini burundi?Kwa ushauli bora ukimbilie Burundi.
haa haa, kwa nini burundi?Kwa ushauli bora ukimbilie Burundi.
Kwani ccm mna hati miliki ya kuongoza daima.kuna jamaa zangu wanafanya kazi pale somalia uwasalimie sana...nakuhakikishia ccm hawag'oki maana kwa dhati kabisa hakuna chama cha kuig'oa ccm madarakani..facebook bado haijawa tools ya kuchukua nchi vijijini hamjulikani kabisa
CCM ni nambari one
Bora uhame kabisa maana nahic atakuwa ni yule aliyesema kuwa wapigwe tu km hamtii sheria
Mkuu Salary Slip weka angalizo,IF AND ONLY IF FAIR ELECTION WILL BE THERE.Haya mashetani yanaweza hata kukimbia na maboksi na kuua ovyo ovyo
kuna jamaa zangu wanafanya kazi pale somalia uwasalimie sana...nakuhakikishia ccm hawag'oki maana kwa dhati kabisa hakuna chama cha kuig'oa ccm madarakani..facebook bado haijawa tools ya kuchukua nchi vijijini hamjulikani kabisa
Ref.wenyeviti wa CCM kutaka kuapishwa wakati hawajashinda.Ref kauli ya rais Songea kuwa atahakikisha mrithi wake ni CCM by any means necessaryTrue,
Ref. Makongoro Mahanga, Ukonga!!
CCM ni nambari one
Hata matokeo Ya serikali Za mitaa umeyaona na hayatakuwa Na mabadiliko sana na matokeo Ya uchaguzi mkuu hivyo Anza kubook ticket yako mapema Ya kwenda Mombasa then Mogadishu!
Raisi wa awamu ya 5 ni mzalendo Dr Slaa hao wengine ni wasindikizaji tuu ccm ina hali mbaya sana inaweza kufa muda wowote kabla hata uchaguzi.
Hata matokeo Ya serikali Za mitaa umeyaona na hayatakuwa Na mabadiliko sana na matokeo Ya uchaguzi mkuu hivyo Anza kubook ticket yako mapema Ya kwenda Mombasa then Mogadishu!
FYI... Hakuna nchi iliyo na uhuru wa kumchagua Rais wanayemtaka hasa katika kipindi hiki.
Rais yeyote yule huchaguliwa toka nje na kusimikwa toka juu kwa gharama yeyote ile, iwe ni umwagaji damu, iwe ni kupindishwa matokeo n.k.
Hivyo basi kama chunguza Mgombea ambaye atakuwa na influence toka nje ndiye atakayekuwa Rais.
Hayo yote unayolalamikia i.e Escrow, Twiga n.k. Yana baraka toka hukoo unadhani hao wawekezaji hawaoni na kila siku ndio kwanza wanamimina bilions of money TZ?? Juzi kati katoka hapa Rais wa Germany. Unahisi hafahamu sakata la Escrow na ufisadi uliokithiri kila kona???
Mimi sio mwanachama wa chama chochote nchini na wala sijawahi kuwa na sitawahi kuwa mwanachama wa chama chochote kile. Sijawahi kupiga kura na wala sitarajii kupiga kura kwani naelewa ni nini kinaendelea nyuma ya pazia.
Utahangaika saaana lakini kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji....