Rais wa awamu ya 5 akitoka CCM nitahamia Somalia

Rais wa awamu ya 5 akitoka CCM nitahamia Somalia

Bora uhame kabisa maana nahic atakuwa ni yule aliyesema kuwa wapigwe tu km hamtii sheria
 
Salary Slip

...usiondoke mkuu baki hapa hapa kama shahidi ili siku nchi hii itakapo kombolewa uwe mmoja kati ya watu watakao toa ushuhuda...kumbuka na kuwaombea adui zako Mungu awape maisha marefu ili siku nchi hii itakapo kombokewa wajionee kwa macho yao...
 
Last edited by a moderator:
Siyo kwamba hawayajui ya Escrow stanbic, yanajulikana sana we ngoja tu aje rais mwingine tutayajua yote, kwani ya mkapa yalikuwaje umesahau wa akida Daniel Yona na Mramba, hii serikali na mashara yake hatari.
 
Ccm imejijeruhi yenyewe.... Itafk uchaguz imechoka sana
 
Back
Top Bottom