Mnzajila GairoTz
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 562
- 153
mim nahamia syria au afghanistan
Nape alisema atahama nchi, sasa sijui ni nini kilimrudisha tena!
mim nahamia syria au afghanistan
Iwapo rais wa awamu ya 5 atatoka CCM,nitaukana uraia wa nchi hii na kuhamia Somali ambapo hakuna serikali.
Ukiishi katika nchi ambayo unajua hakuna serikali ya kueleweka,basi hata yakitokea yasiyotarajiwa waweza jifariji ni kwasababu hatuna serikali.
Ukweli ni kuwa,inauma sana kuishi katika nchi ambayo serikali siku zote iko likizo!A failed state.
Mfano,waliokwapua hele za Escrow kupitia Stanbic bank eti serikali imeshindwa kuwabaini?
Tuna serikali alafu twiga wanapindishwa ndege na kusafirishwa nje ya nchi tena mchana kweupe!!
Mpokea rushwa anashitakiwa;mtoa rushwa uchunguzi unaendelea!
Miaka mingine mitano chini ya CCM ni bora kuhama nchi.
Sasa kuna sababu gani ya kuwa na wapinzani dhaifu kiasi hiki ambao hawana uwezo wa kulinda kura? CCM itatawala milelePia usisahau kuwa CCM ni Chama cha maajabu wanauwezo wa kujichagua wenyewe,wakajipitisha wenyewe,wakajitangaza washindi wenyewe.
Hata pale walipotangazwa kushindwa,kesho yake mwanangu ukakuta mambo yamepinduka miguu juu kichwa chini kageuzwa mshindi na aliyeshinda kageuzwa mshindwa,haya ndiyo maajabu ya CCM.
Wakati mwingine unaweza ukaenda kwenye kituo cha kupigia Kura ukajipigia Kura mwenyewe(Kama ni mgombea)muda wa kuhesabu Kura ukakuta Kura zote ulizopigiwa na mke wako,Watoto wako na wale ambao unauhakika nao kuwa walikupigia Kura zikiwa zimeyeyuka ndani ya box la Kura.
Cha ajabu zaidi ni pale ambapo utakapo kuta hata Ile Kura yako uliokuwa na uhakika kabisa kuwa umejipigia mwenyewe nayo haipo ndani ya sanduku la Kura.
Nikuulize,Tanzania kuna serikali?
Kama tuna serikali,inawezekanaje,kwa mfano,waliopata mgao kutoka stanbic wasijulikane?
Bora niende Somalia nijue moja.
Huyu mleta mada hajielew kasema atahama nchi, akibanwa anasema atapambana Akili nyingine bana
Somalia utapokelewa vizuri sana, jiandae kuondoka maana Ccm kuondoka n miaka dahari ijayo
Salary Slip
...usiondoke mkuu baki hapa hapa kama shahidi ili siku nchi hii itakapo kombolewa uwe mmoja kati ya watu watakao toa ushuhuda...kumbuka na kuwaombea adui zako Mungu awape maisha marefu ili siku nchi hii itakapo kombokewa wajionee kwa macho yao...
Huyu mleta mada hajielew kasema atahama nchi, akibanwa anasema atapambana Akili nyingine bana
Somalia utapokelewa vizuri sana, jiandae kuondoka maana Ccm kuondoka n miaka dahari ijayo
Hakuna damu itakayo mwagika kabisa na Rais kutoka CCM ataapishwa kwa amani na utulivu! hivi una mtoto wewe au mke?Acha kukurupuka!Nimesema damu itamwagika nikimanisha kuna watakaopigania nchi yao.
Hatuwezi kuondoka wote!
Mtoa mada ni kielelezo cha fikra za bavicha!
Yes,kwa wizi,ufisadi na uhujumu uchumi.
Mi mwenyewe nawaza sana sijuwi itakuwaje ccm ikichukuwa nchi au sijuwi nitaenda nchi gani maana hapa kwetu its too much.
Kuna jiran yangu kachoka sana economically juz kapita home anagawa card za ccm akanitoa kwenye mood kabisa.