Rais wa Argentina ashangaza dunia

Rais wa Argentina ashangaza dunia

GEBA2013

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
5,966
Reaction score
8,502
Rais wa Argentina mama Christina Ferdinadi alipoulizwa anajisikiaje nchi yake kushndwa kuchukua kombe la dunia,alijibu YEYE SIYO MSHABIKI WA MPIRA.

Akaulizwa kuhusu MESI kuchukua mchezaji bora wadunia, alijibu HAKUNA MECHI ALIYOWAHI KUANGALIA HATA HIYO FAINALI YA ARGENTINA NA GERMANY SIJAANGALIA KWAHIYO SIJUI LOLOTE.

Awali rais huyo alialikwa yeye pamoja na BI ANGEL MIKEL CHANCELOR wa Ujerumani walialikwa na rais wa BRAZIL kuhudhuria fainali,alimjibu HAWEZI KUJA KUANGALIA FAINALI kwasababu ANAUMWA KOO.

BI ANGEL MIKEL alihudhuria fainali hyo na nchi kuibuka na ushndi.

Je kama Argentina wangechukua kikombe angeenda kuwapokea uwanjani?Inawakuwaje rais wa nchi yenye washabiki wengi wa mpira kama Argentina rais anawavunja moyo watu wake?
 
Sio blatter hadi Mwanangu kauliza why messi ???unajua sababu

Uliza

NIKE VS FIFFA
 
Nasisi tuwe na Rais mwanamke ili tufike Fainali World cup....si unaona Brazil, Argentina na Germany? Tukishindwa kabisa tutaishia nusu fainali...si mbaya
 
Nasisi tuwe na Rais mwanamke ili tufike Fainali World cup....si unaona Brazil, Argentina na Germany? Tukishindwa kabisa tutaishia nusu fainali...si mbaya

wale ni wanawake wa shoka utawalinganisha na hawa vilaza akina anna semamba makinda wa kubebwa bebwa!
 
Rais wa Argentina mama Christina Ferdinadi alipoulizwa anajisikiaje nchi yake kushndwa kuchukua kombe la dunia alijibu YEYE SIYO MSHABIKI WA MPIRA,akaulizwa kuhusu MESI kuchukua mchezaji bora wadunia alijibu HAKUNA MECHI ALIYOWAHI KUANGALIA HATA HYO FAINALI YA ARGENTINA NA GERMANY SIJAANGALIA KWAHYO SIJUI LOLOTE.awali rais hyo alialikwa yy pamoja na BI ANGEL MIKEL CHANCELOR wa ujerumani walialikwa na rais wa BRAZIL kuhudhuria fainali,alimjibu HAWEZI KUJA KUANGALIA FAINALI SBB ANAUMWA KOO.BI ANGEL MIKEL alihudhuria fainali hyo na nchi kuibuka na ushndi.je km argentina wangechukua kikombe angenda kuwapokea uwanjani?inawakuwaje rais wa nchi yenye washabiki wengi wa mpira km argentina afu rais anawavunja moyo watu wake?


Pamoja na hayo yeye sio rais wa Fifa useme asipoenda kitaaribika kitu
 
Lazima dunia nzima tupende mpira? Au lazima rais ujifanye unapenda kila kitu katika nchi yako hata kama sio? UNAFIKI NDIO UNAFANYA TUSIENDELEE
 
mi mwenyewe nimeangalia match mbili tu, ya ufunguzi mpaka half time na finali yote..si ajabu sana...mpira umekosa ladha kabisa, majina makubwa kuliko uwezo halisia, tumehamia kwenye michezo mingine sasa...
 
Me mwenyewe hata sinaga time nao its the matter of priority.
 
Hata Messi mwenyewe alishangazwa,, si uliona alivyoibeba kama fimbo...
 
Lazima dunia nzima tupende mpira? Au lazima rais ujifanye unapenda kila kitu katika nchi yako hata kama sio? UNAFIKI NDIO UNAFANYA TUSIENDELEE

mkuu huyu kazoea kudanganywa na kina jk.. kwa kwenda mwenyewe sokoni kununua samaki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom