Elections 2010 Rais wa 2015 ni lazma awe "MBWA"....

GreatThinkers,

MBWA ni staili ya kiuongozi ambayo niliisoma nikiwa nasoma MBA ni Management style

inayomtaka Manager au kiongozi asiwe wa ofisini peke yake bali anayejishughulisha kwa kwenda sehemu mbalimbali za kazi na Ku-Observe

kazi zinazofanywa na Subordinates wake.

Shortly "MBWA" Stands for "Managing By Waliking Around"

Kiongozi wa aina hii huwa anajiamini na zaidi huwa anaifahamu kazi, ni mtu wa msaada kwa walio chini yake na yuko tayari kwa kutoa
msaada pale wanapokwama.


hapo sijaelewa
 
"mtoto alikataa kwenda shule, mzazi akatafta kiboko kimpge aende shule, KIBOKO KIKATAA. Kwa hasra, akaenda kumwambia MOTO aunguze kiboko ili kiboko kimchampe mtoto, MOTO UKAKATAA! Mzazi akaenda kuyaambia maji yauzme moto ili moto uunguze kiboko na kiboko yapge mtoto aende shule,MAJI YAKAKATAA!

Mzaz hakuchoka, akaenda kumwambia mbuzi ayanye maji, ili maji yazme moto na moto yaunguze kiboko na kiboko kimchape mtoto aende shule MBUZI akakataa....

Baba kachachamaa akaenda kwa MBWA,'mbwa tafuna mbuz', MBWA AKAKUBALI, MBWA ALIMNG'ATA MBUZI NA MBUZI AKANYWA MAJI NA MAJI YAKAZMA MOTO, MOTO UKAANZA KUUNGUZA FIMBO, FIMBO IKAAMKA IKAMPGA MTOTO, MTOTO AKAZNDUKA NA KWENDA SHULE" hvyo Rais tunayemtaka ni lazma awe MBWA 2015.

SOURCE:MRISHO MPOTO AT MOSHI USHIRIKA UNIVERSITY.

Ni kweli tunahitaji raisi akisema kitu anamaanisha na kitatendeka. Akisema tunajivua gamba kweli ukija kesho unakuta gamba limeshachomwa na moto!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom