Katika kusherehekea sikukuu ya Jamuhuri nchini Kenya Rais Kenyatta amepunguza bei ya umeme ili kupunguza makali ya maisha kwa wananchi wake na pia kusaidia viwanda na wawekezaji kupunguza gharama za uendeshaji na uzalishaji.
Kenyatta amepunguza bei hizo kwa 30% kwa awamu mbili, awamu ya kwanza ya 15% itatekelezwa mwezi huu wa Disemba na awamu ya pili ya 15% nyingine itatekelezwa mwezi Machi mwakani.
Je,viongozi wetu na tanesco wana cha kujifunza kutoka kwa jirani zetu?
Kenyatta amepunguza bei hizo kwa 30% kwa awamu mbili, awamu ya kwanza ya 15% itatekelezwa mwezi huu wa Disemba na awamu ya pili ya 15% nyingine itatekelezwa mwezi Machi mwakani.
Je,viongozi wetu na tanesco wana cha kujifunza kutoka kwa jirani zetu?