Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 573
- 893
Katika Wilaya ya HANDENI tatizo kubwa ni shida ya maji, niliwahi kununua shamba Kijiji cha KABUKU, Nimepitia sehemu nyingi za maeneo hayo, kwakweli watu wanaishi kama wanyama, huwa najiuliza mbunge wa pale hii kero haitambui?
Sijawahi kusikia akiizungumzia bungeni, kule Kila mtu anaejenga nyumba kabla ya yote lazima kuchimba kisima cha kuvuna maji ya Mvua, bila Hilo huwezi ishi mji ule, Kulikua na mchakato wa kufanya mji ule uwe Halimashauri, kinachosemekana Madiwani qalihongwa na baadhi ya matajiri wa mji wa mkata, wakapitisha Halimashauri ikapelekwa Mkata.
Sasa kumekua na Bifu kubwa San kati ya wananchi wa pale na viongozi, najua hata CCM Wilaya wanalijua Hilo lakini wanalificha. Kama CCM Mko makini lisemeeni Hilo kwa viongozi wa juu, hasa kero ya Maji na Hilo la Halimashauri. Muheshimiwa Raisi na hili lichukue uingiapo Mkoa wa Tanga.
Sijawahi kusikia akiizungumzia bungeni, kule Kila mtu anaejenga nyumba kabla ya yote lazima kuchimba kisima cha kuvuna maji ya Mvua, bila Hilo huwezi ishi mji ule, Kulikua na mchakato wa kufanya mji ule uwe Halimashauri, kinachosemekana Madiwani qalihongwa na baadhi ya matajiri wa mji wa mkata, wakapitisha Halimashauri ikapelekwa Mkata.
Sasa kumekua na Bifu kubwa San kati ya wananchi wa pale na viongozi, najua hata CCM Wilaya wanalijua Hilo lakini wanalificha. Kama CCM Mko makini lisemeeni Hilo kwa viongozi wa juu, hasa kero ya Maji na Hilo la Halimashauri. Muheshimiwa Raisi na hili lichukue uingiapo Mkoa wa Tanga.