Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,798
- 12,239
Rais ni Samia! Urais hauna ubia na mtu ye yote. Hakuna kikao cha taasisi ya Rais ambacho Rais anakuwa mwenyekiti wake! Rais ni alfa na omega kwa mujibu wa katiba ya nchi hii! Ushauri wo wote kwa Rais anaweza akaupokea na kuufanyia kazi au akaukataa na kuutupilia mbali!Rais ni taasisi!
Hivyo lawama zote kwa Samia!