johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,958
- 141,951
Rais wa Zanzibar Dr Shein amesema katazo la michezo nchini mwao liko pale pale na kwamba hali ya mapambano ya Corona ikiwa nzuri wananchi wataambiwa na michezo na shule zitafunguliwa.
Dr Shein amesema Zanzibar ina mipango yake na haiwezi kuiga nchi zingine ila watajitahidi ili wawe wanaenda kwa ushirikiano.
Rais Shein amesema hayo wakati akikagua uwanja utakaojengwa Hospitali kubwa ya kisasa na maabara kuu itakayotumika kupima pia Corona.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Dr Shein amesema Zanzibar ina mipango yake na haiwezi kuiga nchi zingine ila watajitahidi ili wawe wanaenda kwa ushirikiano.
Rais Shein amesema hayo wakati akikagua uwanja utakaojengwa Hospitali kubwa ya kisasa na maabara kuu itakayotumika kupima pia Corona.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!