Kingu Victor EL
Member
- Aug 21, 2011
- 26
- 0
Anayesema Afrika ni bara la watu weusi ninamwomba anielimishe labda mimi sijui historia. Misri, Tunisia, Libya, Sudan, Moroco, Algeria ziko bara gani na walioko huko, raia wa sasa walifikaje huko na walitokea wapi?
wananchi wa hizo nchi ulizotaja wenyewe hawajichulii kama ni wa Africa
Hapo mmekutana wote wadini. Wewe pamoja na yule unayemkosoa mko kapu moja.Kama kweli kitendo cha mzungu kupewa umakamu wa raisi katika nchi ya kiafrika ni tatizo basi ungemlaumu Sata kwa kuwa na akili ya kikoloni.Lakini badala yake kutokana na mgando wa chuki za kidini katika akili yako unalaumu kuchaguliwa dkt Shein na Mohammed Gharib Bilal kuwa makamo wa raisi Tanzania.Umesahau kuwa wakatoliki kama Sata waliwahi kushika nafasi hii na haikuwa lolote la maana mbali na njaa kali.
wananchi wa hizo nchi ulizotaja wenyewe hawajichulii kama ni wa Africa
kwa mara ya kwanza Africa tangu tupate uhuru mzungu ameteuliwa kuwa makam wa rais
hiyo ni dalili tosha kuwa Rais Sata yuko serious kuibadilisha zambia na mifumo yote mibovu
vile vile ameteua wanachama wa vyama vingine kuunda serikali jambo ambalo hapa kwetu ni ndoto ya mchana
kitendo cha mzungu kuwa makamu wa rais kinaonyesha jinsi wenzetu walivyokomaa na walivyo na elimu kubwa ukilinganisha
na sisi watanzania tunavyohangaika na makamu wa marais wetu wanaopenda sana vibaghashia vya bakwata kushika hiyo nafasi
Zambia has white vice president, as Sata creates another ministry | Zambian Watchdog
Huyu ni mzambia na wala sio mzungu, amezaliwa zambia, kakulia zambia, kasoma zambia kaanzia kazi zambia. Rangi yake nyeupe isimfanye aonekane ni mzungu huyu ni mzambia halisi kama inavyoonekana kwenye historia yake.
Umeanza vizuri ile mbaya hiyo thread yako ingawa ukaja kuharibu hapo kwenye red; cjui unawakilisha ujumbe gani hapo mwana kwetu!!!
Well done Zambs! hii issue ni necessary but mmhh! NOT sufficient na tumeona hao wanyama wakuja wanaua kabisa!! Ref RA and the gang of death!
mkuu safi sana,tusiwe tunaangalia rangi tuangalie anafanya kazi vp.bongo tunalo hii shida sio nasema tuwape wazungu nafasi,ninacho sema wote ni sawa na na apewe mtu kwa uaminifu,uhodari,mvumilivu,mwenye subira na mjanja.wabongo tumekuwa wabaguzi sana,kila kitu ni mpaka tuseme,kuna jamaa wa amechguliwa kuwa mkurugenzi utalii kama sikusei tumemsema kutokana na rangi yake
yaani watu kama kina mwisho mwampamba wenye rangi nyeupe wasije shika madaraka nchi hii,tunasema sana pasipo kuangalia uhalisia
SAFIIIII sana ZAMBIA acha kuiga wabongo mungu azidi kutupa upumbavu huu wa kubaguana kwa Rangi
Umewasahau akina Andrew Young, Condolezza Rice na General Powell.Je mtu mweusi anaweza kuwa makamu wa rais au rais usa au wazir mkuu uk,kwa vile tu amezaliwa huko?don't tell me about obama(half cast)mi naungana na bob mugabe kwamba africa ni bara la mtu mweusi hao jamaa wana kwao.kwetu ni kwao kwa nini?(kandoro saadan)
Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi huyo mzungu amewahi kuwa waziri wa kilimojamaa ni innovative na siasa kwake si kazi ya kutegemea.kama tunavyoona amejishughulisha na kilimo muda mwingi