Rais Samia yuko wapi kwa sasa?

Rais Samia yuko wapi kwa sasa?

Nimeona huku X kuna bango linasoma: MISSING PRESIDENT OF TANZANIA. Ngoja ninyamaze mie nisiseme sana.
Watakua wazushi tu

Alipoondoka walisema anaondoka, baada ya kukatiwa waya wa taarifa sasa wanatunga story
 
Ndege ya Rais İtue Kizimkazi kimya kimya kwasababu gani?

Au sıku hızı kuna drones zenye kubeba abiria?

Kwenda Iowa ijulikane, lakini kurudi Kizimkazi ni siri.

Yupo likikizo nasikia
 
Bila shaka ni wazima wa afya njema?!


Napenda kujua kwa sasa alipo Saisi mama Samia, yupo cuba bado au amerudi Tanzania?

Kikatiba nina haki kujua Rais alipo. Mnao juu taarifa tafadhali tuambieni.

Mungu ibariki Tanzania.

By mwinjilist wenu Gabeji
Muulize mumewe au yule jamaa anayezunguka naye kila mahali.
 
Back
Top Bottom