Nakubali kishingo upandeHuyu ndio raisi wako ,ukubali au ukatae
Tuwekee kwanza hicho kifungu cha katiba kinachokuruhusu kujua wapi rais yupo.Bila shaka ni wazima wa afya njema?!
Napenda kujua kwa sasa alipo Saisi mama Samia, yupo cuba bado au amerudi Tanzania?
Kikatiba nina haki kujua Rais alipo. Mnao juu taarifa tafadhali tuambieni.
Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist wenu Gabeji
Kuna kitu sijaelewaBila shaka ni wazima wa afya njema?!
Napenda kujua kwa sasa alipo Saisi mama Samia, yupo cuba bado au amerudi Tanzania?
Kikatiba nina haki kujua Rais alipo. Mnao juu taarifa tafadhali tuambieni.
Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist wenu Gabeji
Duuu hii ni hatari sana ,Personal Assistant wake Lucas Mwashambwa anajua aliko...
Si ajabu taarifa zikaibukia Zahanati ya Mzena maana kuna watu wameshaanza kuiuliza uliza katiba kuwa, Rais akiwa mwanamke mwislamu, tutaruhusiwa kuuaga mwili wake...?
Swali hilo☝🏻 mimi lilinishitua sana na kuniamsha usingizini...
Bila shaka ni wazima wa afya njema?!
Napenda kujua kwa sasa alipo Saisi mama Samia, yupo cuba bado au amerudi Tanzania?
Kikatiba nina haki kujua Rais alipo. Mnao juu taarifa tafadhali tuambieni.
Mungu ibariki Tanzania.
By mwinjilist wenu Gabeji