Rais Samia, you're still lost in your own denial mode. Taifa linahitaji TRUTH & RECONCILIATION COMMISSION na sio TUME YA MARIDHIANO TU!

Rais Samia, you're still lost in your own denial mode. Taifa linahitaji TRUTH & RECONCILIATION COMMISSION na sio TUME YA MARIDHIANO TU!

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
3,611
Reaction score
9,269
Rais Samia Suluhu Hassan bado yumo katikati ya tatizo kubwa na tishio la maisha yake mwenyewe...

Rais Samia Suluhu Hassan bado anatafunwa na kufunikwa na KIBURI na JEURI kwa sababu ya madaraka, fedha za wizi na ufisadi, bunduki za Polisi na majeshi yake ya siri akidhani zitaepusha anguko la utawala wa CCM na kifo chake mwenyewe iwapo ataendelea kutofanya maamuzi sahihi kujikoa yeye na nafsi yake...

Rais Samia Suluhu Hassan bado yupo kwenye hali ya kujikana na kujikataa mwenyewe (denial mode)...

Rais Samia Suluhu Hassan hataki kabisa aidha kwa makusudi au kwa kudanganywa kukubali ukweli na kukiri kuwa serikali yake, kwa KIBALI na AMRI yake iliua watu raia zaidi ya 10,000 wasio na hatia wakiwemo watoto, kina mama na kina baba na vijana kwa makusudi kabisa, kinyume cha sheria...

Rais Samia hataki kabisa kuukubali UKWELI na KUKIRI kuwa, serikali yake inateka watu, inawatesa, inawatia ulemavu, inawapoteza na wengine kuwaua kinyume cha sheria na utaratibu. Ushahidi wa haya yote upo dhahiri na serikali imeshindwa kufanya lolote kukomesha tatizo hili ikiwa ni ushahidi ya kuwa, yenyewe ndiyo inafanya uhalifu huu...

Rais Samia Suluhu Hassan, suluhisho la mgogoro wa serikali yako na wananchi sio kuunda TUME YA MARIDHIANO kurudia kosa lilelile ambalo ulishalifanya mwaka 2021. Je, bado unataka kuendelea kuwa mjinga na mpumbavu tu hata kama unayo nafasi ya kutoka huko...?

Rais Samia Suluhu Hassan, Suluhisho la mgogoro wa serikali yako na umma (wananchi) ni kuanza kwanza kujua UKWELI wa kila kilichotokea kabla ya uchaguzi, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi 29/10/2025...

Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa na hekima, busara na ujasiri wa kutenda HAKI na Mungu wa HAKI atakuwa upande wako pia. Acha ujasiri wa dhuluma na mauaji utakuangamiza mwenyewe mwishoni...

Inuka na simamia uundwaji wa chombo cha kimahakama kisheria kinachoitwa TUME YA UKWELI NA MARIDHIANO (TRUTH & RECONCILIATION COMMISSION) ituletee ukweli na sababu halisi ya kilichotokea, iwatambue wote waliohusika kuua watu wetu, iwatambue wote walioathirika na ituletee mapendekezo ya nini cha kufanya nk...

Sikiliza mama yangu Rais Samia Suluhu Hassan. Mungu anakupenda sana. Hata watu wanakupenda kama binadamu mwemzao japo kwenye ya uongozi wa u - Rais kwa kweli hufai na hau-fit kwa kuwa uwezo wako wa fikra za uongozi hautoshi. Huu ni ukweli unaoumiza sana lakini ndio ukweli na lazima uambiwe ili upone...

Na kwa sababu hiyo👆, kama unataka kupona kwenye shida ya msongo wa mawazo unaopitia Rais Samia Suluhu Hassan na kuepuka kuangamia kwako, basi hupaswi kabisa kuogopa kutaja na kuyatendea kazi maneno HAKI na UKWELI wakati wowote, mahali popote...

UKWELI humweka mtu huru. Kinyume chake ni kuwa UONGO na DECEPTION humweka mtu kwenye kifungo cha gereza hatari kabisa linaloweza kukuua...

Acha kujidanganya. Stop deceiving your people. Jikane mwenyewe. Dharau heshima bandia, kubali kuonekana mjinga lakini jiokoe wewe na watoto wako before it's too late...
 
Rais Samia Suluhu Hassan bado yumo katikati ya tatizo kubwa na tishio la maisha yake mwenyewe...

Rais Samia Suluhu Hassan bado anatafunwa na kufunikwa na KIBURI na JEURI kwa sababu ya madaraka, fedha za wizi na ufisadi, bunduki za Polisi na majeshi yake ya siri akidhani zitaepusha anguko la utawala wa CCM na kifo chake mwenyewe iwapo ataendelea kutofanya maamuzi sahihi kujikoa yeye na nafsi yake...

Rais Samia Suluhu Hassan bado yupo kwenye hali ya kujikana na kujikataa mwenyewe (denial mode)...

Rais Samia Suluhu Hassan hataki kabisa aidha kwa makusudi au kwa kudanganywa kukubali ukweli na kukiri kuwa serikali yake, kwa KIBALI na AMRI yake iliua watu raia zaidi ya 10,000 wasio na hatia wakiwemo watoto, kina mama na kina baba na vijana kwa makusudi kabisa, kinyume cha sheria...

Rais Samia hataki kabisa kuukubali UKWELI na KUKIRI kuwa, serikali yake inateka watu, inawatesa, inawatia ulemavu, inawapoteza na wengine kuwaua kinyume cha sheria na utaratibu. Ushahidi wa haya yote upo dhahiri na serikali imeshindwa kufanya lolote kukomesha tatizo hili ikiwa ni ushahidi ya kuwa, yenyewe ndiyo inafanya uhalifu huu...

Rais Samia Suluhu Hassan, suluhisho la mgogoro wa serikali yako na wananchi sio kuunda TUME YA MARIDHIANO kurudia kosa lilelile ambalo ulishalifanya mwaka 2021. Je, bado unataka kuendelea kuwa mjinga na mpumbavu tu hata kama unayo nafasi ya kutoka huko...?

Rais Samia Suluhu Hassan, Suluhisho la mgogoro wa serikali yako na umma (wananchi) ni kuanza kwanza kujua UKWELI wa kila kilichotokea kabla ya uchaguzi, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi 29/10/2025...

Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa na hekima, busara na ujasiri wa kutenda HAKI na Mungu wa HAKI atakuwa upande wako pia. Acha ujasiri wa dhuluma na mauaji utakuangamiza mwenyewe mwishoni...

Inuka na simamia uundwaji wa chombo cha kimahakama kisheria kinachoitwa TUME YA UKWELI NA MARIDHIANO (TRUTH & RECONCILIATION COMMISSION) ituletee ukweli na sababu halisi ya kilichotokea, iwatambue wote waliohusika kuua watu wetu, iwatambue wote walioathirika na ituletee mapendekezo ya nini cha kufanya nk...

Sikiliza mama yangu Rais Samia Suluhu Hassan. Mungu anakupenda sana. Hata watu wanakupenda kama binadamu mwemzao japo kwenye ya uongozi wa u - Rais kwa kweli hufai na hau-fit kwa kuwa uwezo wako wa fikra za uongozi hautoshi. Huu ni ukweli unaoumiza sana lakini ndio ukweli na lazima uambiwe ili upone...

Na kwa sababu hiyo👆, kama unataka kupona kwenye shida ya msongo wa mawazo unaopitia Rais Samia Suluhu Hassan na kuepuka kuangamia kwako, basi hupaswi kabisa kuogopa kutaja na kuyatendea kazi maneno HAKI na UKWELI wakati wowote, mahali popote...

UKWELI humweka mtu huru. Kinyume chake ni kuwa UONGO na DECEPTION humweka mtu kwenye kifungo cha gereza hatari kabisa linaloweza kukuua...

Acha kujidanganya. Stop deceiving your people. Jikane mwenyewe. Dharau heshima bandia, kubali kuonekana mjinga lakini jiokoe wewe na watoto wako before it's too late...


Sikio la kufa halisikii sawa, tumuache tu aendeleze kutunyanyasa na anavyojizima data eti kashinda kura 98% huwa nacheka Sana.

Huyo tumuachie MUNGU aweze kufupisha Maisha yake hapa duniani maana hajali chochote na kinachompa kiburi ni vyombo vya Dola vinavyomlinda ambavyo vinateka na kuua na kuwanyima watu uhuru wa kuzungumza hata sisi CCM tumemchoka hatumtaki.
 
Rais Samia Suluhu Hassan bado yumo katikati ya tatizo kubwa na tishio la maisha yake mwenyewe...

Rais Samia Suluhu Hassan bado anatafunwa na kufunikwa na KIBURI na JEURI kwa sababu ya madaraka, fedha za wizi na ufisadi, bunduki za Polisi na majeshi yake ya siri akidhani zitaepusha anguko la utawala wa CCM na kifo chake mwenyewe iwapo ataendelea kutofanya maamuzi sahihi kujikoa yeye na nafsi yake...

Rais Samia Suluhu Hassan bado yupo kwenye hali ya kujikana na kujikataa mwenyewe (denial mode)...

Rais Samia Suluhu Hassan hataki kabisa aidha kwa makusudi au kwa kudanganywa kukubali ukweli na kukiri kuwa serikali yake, kwa KIBALI na AMRI yake iliua watu raia zaidi ya 10,000 wasio na hatia wakiwemo watoto, kina mama na kina baba na vijana kwa makusudi kabisa, kinyume cha sheria...

Rais Samia hataki kabisa kuukubali UKWELI na KUKIRI kuwa, serikali yake inateka watu, inawatesa, inawatia ulemavu, inawapoteza na wengine kuwaua kinyume cha sheria na utaratibu. Ushahidi wa haya yote upo dhahiri na serikali imeshindwa kufanya lolote kukomesha tatizo hili ikiwa ni ushahidi ya kuwa, yenyewe ndiyo inafanya uhalifu huu...

Rais Samia Suluhu Hassan, suluhisho la mgogoro wa serikali yako na wananchi sio kuunda TUME YA MARIDHIANO kurudia kosa lilelile ambalo ulishalifanya mwaka 2021. Je, bado unataka kuendelea kuwa mjinga na mpumbavu tu hata kama unayo nafasi ya kutoka huko...?

Rais Samia Suluhu Hassan, Suluhisho la mgogoro wa serikali yako na umma (wananchi) ni kuanza kwanza kujua UKWELI wa kila kilichotokea kabla ya uchaguzi, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi 29/10/2025...

Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa na hekima, busara na ujasiri wa kutenda HAKI na Mungu wa HAKI atakuwa upande wako pia. Acha ujasiri wa dhuluma na mauaji utakuangamiza mwenyewe mwishoni...

Inuka na simamia uundwaji wa chombo cha kimahakama kisheria kinachoitwa TUME YA UKWELI NA MARIDHIANO (TRUTH & RECONCILIATION COMMISSION) ituletee ukweli na sababu halisi ya kilichotokea, iwatambue wote waliohusika kuua watu wetu, iwatambue wote walioathirika na ituletee mapendekezo ya nini cha kufanya nk...

Sikiliza mama yangu Rais Samia Suluhu Hassan. Mungu anakupenda sana. Hata watu wanakupenda kama binadamu mwemzao japo kwenye ya uongozi wa u - Rais kwa kweli hufai na hau-fit kwa kuwa uwezo wako wa fikra za uongozi hautoshi. Huu ni ukweli unaoumiza sana lakini ndio ukweli na lazima uambiwe ili upone...

Na kwa sababu hiyo👆, kama unataka kupona kwenye shida ya msongo wa mawazo unaopitia Rais Samia Suluhu Hassan na kuepuka kuangamia kwako, basi hupaswi kabisa kuogopa kutaja na kuyatendea kazi maneno HAKI na UKWELI wakati wowote, mahali popote...

UKWELI humweka mtu huru. Kinyume chake ni kuwa UONGO na DECEPTION humweka mtu kwenye kifungo cha gereza hatari kabisa linaloweza kukuua...

Acha kujidanganya. Stop deceiving your people. Jikane mwenyewe. Dharau heshima bandia, kubali kuonekana mjinga lakini jiokoe wewe na watoto wako before it's too late...
Muuaji hashauriki, anaamini kwenye mtutu wa bunduki. Anaamini anaweza kutumia mtutu wa bunduki kuiunganisha nchi iliyopasuka
 
Rais Samia Suluhu Hassan bado yumo katikati ya tatizo kubwa na tishio la maisha yake mwenyewe...

Rais Samia Suluhu Hassan bado anatafunwa na kufunikwa na KIBURI na JEURI kwa sababu ya madaraka, fedha za wizi na ufisadi, bunduki za Polisi na majeshi yake ya siri akidhani zitaepusha anguko la utawala wa CCM na kifo chake mwenyewe iwapo ataendelea kutofanya maamuzi sahihi kujikoa yeye na nafsi yake...

Rais Samia Suluhu Hassan bado yupo kwenye hali ya kujikana na kujikataa mwenyewe (denial mode)...

Rais Samia Suluhu Hassan hataki kabisa aidha kwa makusudi au kwa kudanganywa kukubali ukweli na kukiri kuwa serikali yake, kwa KIBALI na AMRI yake iliua watu raia zaidi ya 10,000 wasio na hatia wakiwemo watoto, kina mama na kina baba na vijana kwa makusudi kabisa, kinyume cha sheria...

Rais Samia hataki kabisa kuukubali UKWELI na KUKIRI kuwa, serikali yake inateka watu, inawatesa, inawatia ulemavu, inawapoteza na wengine kuwaua kinyume cha sheria na utaratibu. Ushahidi wa haya yote upo dhahiri na serikali imeshindwa kufanya lolote kukomesha tatizo hili ikiwa ni ushahidi ya kuwa, yenyewe ndiyo inafanya uhalifu huu...

Rais Samia Suluhu Hassan, suluhisho la mgogoro wa serikali yako na wananchi sio kuunda TUME YA MARIDHIANO kurudia kosa lilelile ambalo ulishalifanya mwaka 2021. Je, bado unataka kuendelea kuwa mjinga na mpumbavu tu hata kama unayo nafasi ya kutoka huko...?

Rais Samia Suluhu Hassan, Suluhisho la mgogoro wa serikali yako na umma (wananchi) ni kuanza kwanza kujua UKWELI wa kila kilichotokea kabla ya uchaguzi, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi 29/10/2025...

Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa na hekima, busara na ujasiri wa kutenda HAKI na Mungu wa HAKI atakuwa upande wako pia. Acha ujasiri wa dhuluma na mauaji utakuangamiza mwenyewe mwishoni...

Inuka na simamia uundwaji wa chombo cha kimahakama kisheria kinachoitwa TUME YA UKWELI NA MARIDHIANO (TRUTH & RECONCILIATION COMMISSION) ituletee ukweli na sababu halisi ya kilichotokea, iwatambue wote waliohusika kuua watu wetu, iwatambue wote walioathirika na ituletee mapendekezo ya nini cha kufanya nk...

Sikiliza mama yangu Rais Samia Suluhu Hassan. Mungu anakupenda sana. Hata watu wanakupenda kama binadamu mwemzao japo kwenye ya uongozi wa u - Rais kwa kweli hufai na hau-fit kwa kuwa uwezo wako wa fikra za uongozi hautoshi. Huu ni ukweli unaoumiza sana lakini ndio ukweli na lazima uambiwe ili upone...

Na kwa sababu hiyo👆, kama unataka kupona kwenye shida ya msongo wa mawazo unaopitia Rais Samia Suluhu Hassan na kuepuka kuangamia kwako, basi hupaswi kabisa kuogopa kutaja na kuyatendea kazi maneno HAKI na UKWELI wakati wowote, mahali popote...

UKWELI humweka mtu huru. Kinyume chake ni kuwa UONGO na DECEPTION humweka mtu kwenye kifungo cha gereza hatari kabisa linaloweza kukuua...

Acha kujidanganya. Stop deceiving your people. Jikane mwenyewe. Dharau heshima bandia, kubali kuonekana mjinga lakini jiokoe wewe na watoto wako before it's too late...
Napitisha ... aisome Samia. NB: Samia ana akili ndogo sana ndiyo maana wanamdanganya ili wafaidike na ujinga wake. Kwanza wamemdanganya kuwa anachukiwa tu na baadhi ya viongozi wenzake kwa sababu wanamdharau kwa kuwa yeye ni mwanamke, mzanzibar na muislam. Wanamdanganya kuwa watanzania ni watu wapole wasiojielewa na wanachochewa na viongozi wasimtaka. Anadhani akitumie nguvu ataweza kuogopeka na hoja yake nyingine ni kuwa mbona Magufuli alitawala kwa mkono wa chuma na hakupata upinzani? Mbona Mkapa aliua na hata Magufuli lakini watu hawaku-react? Hajui kuwa circumstances za yalitokea wakati wa Mkapa au Magufuli ni tofauti kabisa na sasa. Umempa ushauru mzuri mno ila wapambe hawatakubali kumwambia ukweli.
 
Sikio la kufa halisikii sawa, tumuache tu aendeleze kutunyanyasa na anavyojizima data eti kashinda kura 98% huwa nacheka Sana.

Huyo tumuachie MUNGU aweze kufupisha Maisha yake hapa duniani maana hajali chochote na kinachompa kiburi ni vyombo vya Dola vinavyomlinda ambavyo vinateka na kuua na kuwanyima watu uhuru wa kuzungumza hata sisi CCM tumemchoka hatumtaki.
Tatizo la binadamu anajiona ana haki kupita maelezo. SSH ana watu wengi sana nyuma yake kuliko mnavyojidanganya kwa hizi nyuzi za JF.

SSH yupo huko mikoani kila wilaya, huku Dar mmejipanga na akili za wivu, chuki na ubaguzi baada ya kugundua huwezi kumpelekesha Rais kadri unavyojisikia.

Hayati JPM alikuwa katili kupita maelezo, mliweza kutaka kum-blackmail kwa hizi nyuzi za kumuombea mabaya?. Acheni chuki nyinyi, jielekezeni katika masuala yenye kuijenga jamii, hilo jaribio la mapinduzi haramu lilishashindwa.

Yupo ikulu kikatiba, jeshi lipo nyuma yake kwa sababu lenyewe linailinda katiba ya nchi.
 
Tatizo la binadamu anajiona ana haki kupita maelezo. SSH ana watu wengi sana nyuma yake kuliko mnavyojidanganya kwa hizi nyuzi za JF.

SSH yupo huko mikoani kila wilaya, huku Dar mmejipanga na akili za wivu, chuki na ubaguzi baada ya kugundua huwezi kumpelekesha Rais kadri unavyojisikia.

Hayati JPM alikuwa katili kupita maelezo, mliweza kutaka kum-blackmail kwa hizi nyuzi za kumuombea mabaya?. Acheni chuki nyinyi, jielekezeni katika masuala yenye kuijenga jamii, hilo jaribio la mapinduzi haramu lilishashindwa.

Yupo ikulu kikatiba, jeshi lipo nyuma yake kwa sababu lenyewe linailinda katiba ya nchi.
Ukielewa kilichoandikwa halafu ukaweka uchawa pembeni... Naamini mabadiliko ya fikra na mtazamo vitaleta manufaa na utaokoa kizazi chako kijacho
 
Ukielewa kilichoandikwa halafu ukaweka uchawa pembeni... Naamini mabadiliko ya fikra na mtazamo vitaleta manufaa na utaokoa kizazi chako kijacho
Tarehe 9 na 25 Desemba kuna mtu yoyote aliyetoka nje kuanzisha machafuko?, kuna mtu yoyote aliyeaga dunia?.

Tujifunze kutimiza wajibu kwanza kabla ya kujikita katika kutazama mwingine anavyopaswa kuutimiza wa kwake.
 
Napitisha ... aisome Samia. NB: Samia ana akili ndogo sana ndiyo maana wanamdanganya ili wafaidike na ujinga wake. Kwanza wamemdanganya kuwa anachukiwa tu na baadhi ya viongozi wenzake kwa sababu wanamdharau kwa kuwa yeye ni mwanamke, mzanzibar na muislam. Wanamdanganya kuwa watanzania ni watu wapole wasiojielewa na wanachochewa na viongozi wasimtaka. Anadhani akitumie nguvu ataweza kuogopeka na hoja yake nyingine ni kuwa mbona Magufuli alitawala kwa mkono wa chuma na hakupata upinzani? Mbona Mkapa aliua na hata Magufuli lakini watu hawaku-react? Hajui kuwa circumstances za yalitokea wakati wa Mkapa au Magufuli ni tofauti kabisa na sasa. Umempa ushauru mzuri mno ila wapambe hawatakubali kumwambia ukweli.

Wakati wa kuaga mwili wa Jenister Mhagama hakutaka hata kuangalia lile Jeneza, ishara ya Kwamba aliidhinisha kuuwawa kwake.
 
Wakati wa kuaga mwili wa Jenister Mhagama hakutaka hata kuangalia lile Jeneza, ishara ya Kwamba aliidhinisha kuuwawa kwake.
Acheni kuabudu uchochezi!, malipo yake huwa mabaya kuliko mnavyodhani.

Waislam hawaangalii maiti wakati wanaaga mwili.

Ilitokea alitazama mwili wa hayati JPM akiwa ndio bosi wake asingeweza kuangalia pembeni kutokana na hali halisi ya msiba wenyewe.

Mnaendekeza sana chuki za kijinga, huwa zinawageuka na kuwadhuru.
 
Acheni kuabudu uchochezi!, malipo yake huwa mabaya kuliko mnavyodhani.

Waislam hawaangalii maiti wakati wanaaga mwili.

Ilitokea alitazama mwili wa hayati JPM akiwa ndio bosi wake asingeweza kuangalia pembeni kutokana na hali halisi ya msiba wenyewe.

Mnaendekeza sana chuki za kijinga, huwa zinawageuka na kuwadhuru.

Dah. Nchi ngumu hii
 
Back
Top Bottom