beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Akishiriki Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani Kitaifa Jijini Arusha, amesema takwimu zinaonesha zaidi ya 90% Ajali za Barabarani husababishwa na makosa ya kibinadamu ikiwemo mwendokasi, kutovaa mikanda na kupita gari lingine bila tahadhari.
Amesema, "Uendeshaji wa Vyombo chakavu au vibovu huchangia 3.2% ya ajali na hali mbaya/ubovu wa barabara, hali ya hewa (vumbi, ukungu, utelezi au moshi) huchangia 1.3%"
Ameongeza kuwa, waendesha bodaboda bado ni miongoni mwa kundi kubwa linalosababisha ajali.
Amesema, "Uendeshaji wa Vyombo chakavu au vibovu huchangia 3.2% ya ajali na hali mbaya/ubovu wa barabara, hali ya hewa (vumbi, ukungu, utelezi au moshi) huchangia 1.3%"
Ameongeza kuwa, waendesha bodaboda bado ni miongoni mwa kundi kubwa linalosababisha ajali.