Sauti ya Watanzania wa wapi? Tuna matatizo mengi ya kutosha, hebu tuacheni kiherehere na mambo yasiyotuhusuRais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja,na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.
Yeah, tuna kiherehere Hadi tunatia kinyaa! Umemjibu vyema sana! Tuna mijizi imeiba trillions za kutosha na hakuna anayenyanyua mdomo, tuko bize na Palestine na Israelites, Tena ambao ni NduguKwani tulishawahi kufunga ubalozi wa Russia hapa Tanzania?
Ya ngoswe tumuachie ngoswe, sisi tudeal na mambo ya Burundi, Somalia, DRC, Sudan, Eritrea.
Tulio wengi tunataka hivo na itakuwa subiri uone...It was a mistaken in the first place kwanini kufungua ubalozi kule.Sauti ya Watanzania wa wapi? Tuna matatizo mengi ya kutosha, hebu tuacheni kiherehere na mambo yasiyotuhusu
Pumbavu hiyo sauti yako sio ya watanzania familia yangu na ndugu zangu hatujatoa hiyo sautiRais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja, na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.
HAPANA, hebu tu deal na shida zetu kwanzaTulio wengi tunataka hivo na itakuwa subiri uone...It was a mistaken in the first place kwanini kufungua ubalozi kule.
Mungik unamshauri rais atemue ban israel wewe nani amekutimua kenya huko?Rais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja, na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.
wewe punguani, hata sisi tunashangaa anasubiri nini kufunga ubalozi wa palestina hapa nchini, ubalozi ambao hauna faida yeyote kwa nchi. tunafaidika nini na palestina tangu waweke ubalozi hapa zaidi ya wao kufaidika kwetu kwa kutuomba tupinge israel? ishi ukijua wakristo Tanzania tunasapoti israel na usitulazimishe tupende palestina.Rais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja, na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.
Sauti ya mpumbavu mmoja haijawahi kuwa ya watanzaniahii ni sauti ya Watanzania.
Umetumwa?Tulio wengi tunataka hivo na itakuwa subiri uone...It was a mistaken in the first place kwanini kufungua ubalozi kule.
wewe sauti ya Mungik imekua lini ya wanainczih,Rais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja, na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.