5 Nyingi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2023
- 247
- 594
Wakati nchi ya Ghana imeamua kuwekeza katika soka, serikali yao iliweka mazingira vutivu kwa wawekezaji wanaotaka kufungua academy, academy zikafunguliwa nyingi kama Makanisa ya jiji la Mbeya.
Miaka 10 baadaye timu ya taifa ya Ghana ikaanza kuimarishwa na vijana waliotokea kwenye academy zao, timu za ulaya zikaanza kununua wachezaji toka Ghana, academy zao zikawatafutia scholarship wachezaji wenye vipaji vikubwa ili wakapate ujuzi zaidi kwenye nchi za dunia yakwanza.
Mpaka sasa Ghana inashiriki kwenye mashindano mbalimbali na wanatumia madogo tu sio vikongwe.
Maajabu Tanzania inataka kuvuna isicho kipanda kwa kutumia hamasa. Huu ni wizi na uhujumu uchumi, najua timu ya Taifa haitavuka makundi abadani.
Wachezaji waambiwe kabisa wasipovuka makundi watazitapika fedha zote zilizo unguzwa ili iwe fundisho.
Rais Samia bibi yangu mpendwa tafadhali kaa mbali na wahuni na matapeli, mtafute Mh Polepole mzee wa Cuba akuelekeze jinsi ya kuwajua wahuni na matapeli kwa mbinu za Cuba.
Miaka 10 baadaye timu ya taifa ya Ghana ikaanza kuimarishwa na vijana waliotokea kwenye academy zao, timu za ulaya zikaanza kununua wachezaji toka Ghana, academy zao zikawatafutia scholarship wachezaji wenye vipaji vikubwa ili wakapate ujuzi zaidi kwenye nchi za dunia yakwanza.
Mpaka sasa Ghana inashiriki kwenye mashindano mbalimbali na wanatumia madogo tu sio vikongwe.
Maajabu Tanzania inataka kuvuna isicho kipanda kwa kutumia hamasa. Huu ni wizi na uhujumu uchumi, najua timu ya Taifa haitavuka makundi abadani.
Wachezaji waambiwe kabisa wasipovuka makundi watazitapika fedha zote zilizo unguzwa ili iwe fundisho.
Rais Samia bibi yangu mpendwa tafadhali kaa mbali na wahuni na matapeli, mtafute Mh Polepole mzee wa Cuba akuelekeze jinsi ya kuwajua wahuni na matapeli kwa mbinu za Cuba.