Dogo, Kama unataka kufanya siasa achana na person issues za wapinzani wako na Kama unasaka uteuzi jifunze kujenga hoja nzito ili usionekane kuwa na midomo miwili aliyosema boss wako!Mbona hizi taarifa anakili mwenyewe kwenye maandishi yake!! Wala huhitaji kuwa mahabusu kujua walimfanya nini