Rais Samia: "Ukiwapa serikali hao wataunda chama"

Rais Samia: "Ukiwapa serikali hao wataunda chama"

Na mwingine kaumbwa hivyo roho yake basi tu, raha zake aone ugomvi mabishano hivyo, na huyo amua leo mwambie mimi nakupa serikali na wenzio hao, ataunda chama chengine awapinge wale wenzie aliokuwa nao, na ndiyo tunayoyaona huko kwao, ukiona hawapo hapa sio tu kwamba labda kuna kununa, huko kwao ndani hakukaliki ndani kuna moto

Uhuru wa kutoa maoni una mipaka yake, kama ulizaliwa na Baba yako na Mama yako ukalelewa vyema, ukapitishwa kwenye mafunzo ya dini maneno mengine huwezi kuyasema, mengine tunayoyashuhudia kwenye mitandao aliyelelewa vizuri hawezi kuyasema, si wote tumepata bahati hiyo, wengine wamechipuka tu hivyo wameona dunia ndiyo hii hapa, wakawa kama kipofu kaona jogoo kila unachomuambia anaitikia kama jogoo, kumbe aliona jogoo macho yakafumba tena, anachokijua duniani ni jogoo tu.


#MkutanoBarazaVyamaVyaSiasa
#EastAfricaTVView attachment 2746602
Na wewe ungelelewa vizuri usingekuwa mke wa nne,ungekuwa na mume wa ujana wako.
 
Zamani kulikuwa na magwiji wawili wa taarab: mmama Shakira na bishoo Juma Baro. Hawa waungwana enzi hizo walikuwa maarufu kwa kutunga mashairi yenye mipasho na kuumbuana.
Kama yalivyo mashairi na ngojera ni njia za kuwasilisha ujumbe, zilizorithiwa kutoka jamii za mashariki ya kati na ukanda wa pwani ya Africa Mashariki.
Baada ya waungwana hawa wawili kupotea kwenye jukwaa la taarabu, tulipumzisha vichwa na shughuli kubwa ya kujaribu kufumbua ujumbe uliofichwa kwenye baadhi nyimbo za taarabu..... Sasa naona mtindo umerudi tena kwa ari mpya na kasi kubwa, lakini safari hii kutoka kileleni!....Du!! 🧐
 
Naelewa CCM huko nyuma walikuwa na matusi sana lakini Mama ameshika madaraka na hajawahi kutukana upinzani majukwaani na alileta muafaka ambao Mbowe na vyama vyengine ndio waasisi wake matusi hakuna ni kujenga hoja tu juu ya majukwaa lakini mtu kama Tundu Lissu anaporomosha matusi na ubaguzi wa kidini kumdhalilima mama kwa sababu dini na kuwadhalilisha wazanzibari ambako huko nyuma alishakana na Maalim Seif kuwatetea wazanzibari leo anawadhalilisha kwa sababu ya dini

Hiyo hotuba ya jana imedhihirisha kwamba bibi yetu ni mweupe kichwani.

Hamna kitu hapo, urais ameupata kwa kubebwa tu .
 
Na mwingine kaumbwa hivyo roho yake basi tu, raha zake aone ugomvi mabishano hivyo, na huyo amua leo mwambie mimi nakupa serikali na wenzio hao, ataunda chama chengine awapinge wale wenzie aliokuwa nao, na ndiyo tunayoyaona huko kwao, ukiona hawapo hapa sio tu kwamba labda kuna kununa, huko kwao ndani hakukaliki ndani kuna moto

Uhuru wa kutoa maoni una mipaka yake, kama ulizaliwa na Baba yako na Mama yako ukalelewa vyema, ukapitishwa kwenye mafunzo ya dini maneno mengine huwezi kuyasema, mengine tunayoyashuhudia kwenye mitandao aliyelelewa vizuri hawezi kuyasema, si wote tumepata bahati hiyo, wengine wamechipuka tu hivyo wameona dunia ndiyo hii hapa, wakawa kama kipofu kaona jogoo kila unachomuambia anaitikia kama jogoo, kumbe aliona jogoo macho yakafumba tena, anachokijua duniani ni jogoo tu.


#MkutanoBarazaVyamaVyaSiasa
#EastAfricaTVView attachment 2746602


Mama anataka kuwalazimisha Chadema waje kwenye vikao kila siku ambavyo mpaka sasa ni kama kupoteza muda. Wameshatoa mapendekezo yao sasa kukutana kila siku kuna tija gani kwa taifa! Mama ame punic nini… fanya mabadiliko twende mbele Chadema ache waendelee kukutana na wananchi.
 
Back
Top Bottom