Rais Samia: Uchaguzi Mkuu wa 2020 ulifanyika vizuri sana

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,079
219,123
Ujumbe huu mzito ameutoa leo alipokuwa akipokea Taarifa ya Uchaguzi mkuu wa 2020 iliyoandaliwa na NEC kwenye viwanja vya Ikulu

=====

Rais Samia amewapongeza Watanzania kwa kushiriki kikamilifu kuanzia zoezi la uandikishaji, kupiga kura na kushiriki uchaguzi mkuu huo ambao chama chake Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa mshindi wa urais na kuzoea karibu majimbo na kata zote.

“Hakuna shaka, yeyote aliyeshuhudia uchaguzi mkuu wa mwaka jana alishuhudia jinsi ulifanyika vizuri sana tena kwa kiwango kikubwa sana,” amesema Rais Samia.

 
Yuko sahihi

Mh.Rais SSH yuko sahihi mno

Mh. Trump alikuwa ni Rais na alilalamikia RAFU ZA WAZI ZA WAPINZANI. Hii ina maana ya kwamba hata WAPINZANI huwa wanacheza RAFU na Wakati mwingine huwafanikisha kuingia IKULU.

✓Yale mabegi ya KURA FEKI kule KAWE na kwingineko ilikuwa UJANJA MTUPU uliosukwa na "jamaa" ili KUICHAFUA CCM, NCHI NA SERIKALI YAKE.

#SiempreJMT
#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#KaziIendelee
 
Back
Top Bottom