mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,133
- 6,343
Madeni hatujawahi kuweza kuyalipa ya ndani yametushinda ya huko nje hadi huwa tunapiga kelele wabeberu wayasamehe/wayafute
Tunapoelekea nchi itauzwa kwa sababu ya madeni haya yanayosababishwa na ma ccm