PostGE2025 Rais Samia: Tusimame dakika moja tuwaombee waliopoteza Maisha Oktoba 29

PostGE2025 Rais Samia: Tusimame dakika moja tuwaombee waliopoteza Maisha Oktoba 29

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,612
Reaction score
15,349
Rais Samia amesema "Katika kuwakumbuka na kutoa heshima kwa waliotangulia mbele ya haki, ninaomba tusimame kwa dakika moja. Tumwombe Mwenyezi Mungu azipumzishe roho zao mahali pema peponi. Kila mtu kwa imani yake."

 
Damu za Watanganyika zilimwagwa Kwa maslahi ya mafisadi
 
Rais Samia: Tusimame dakika moja tuwaombee

Rais Samia amesema "Katika kuwakumbuka na kutoa heshima kwa waliotangulia mbele ya haki, ninaomba tusimame kwa dakika moja. Tumwombe Mwenyezi Mungu azipumzishe roho zao mahali pema peponi. Kila mtu kwa imani yake."

View attachment 3577911
IMG_20260423_130941.jpg

Ambao mlikuwa hamuelewi umuhimu wa serikali ya Tanganyika nadhani sasa mnaanza kujiuliza maswali.
 
Back
Top Bottom