Rais Samia, tunaomba ujenge Football Academy

Makupa

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
5,044
2,566
Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu Hassan una mapenzi ya dhati ya mpira wa miguu.

Hata hivyo, tunakuomba mheshimiwa Rais hakikisha kabla ya kumaliza muda wako 2030 uhakikishe ya kwamba umeacha misingi ya uhakika ili taifa letu liweze kufikia kiwango cha mataifa yaliofanukiwa kwenye football.

Hivyo, tunamba serikali yako tukufu inaweka mazingira ya kuhakikisha ya kwamba nchi Inakuwa na mfano wa kisasa ambao utawezesha kupata wachezaji sahihi na wenye umri sahihi.
 
Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu Hassan una mapenzi ya dhati ya mpira wa miguu.

Hata hivyo, tunakuomba mheshimiwa Rais hakikisha kabla ya kumaliza muda wako 2030 uhakikishe ya kwamba umeacha misingi ya uhakika ili taifa letu liweze kufikia kiwango cha mataifa yaliofanukiwa kwenye football.

Hivyo, tunamba serikali yako tukufu inaweka mazingira ya kuhakikisha ya kwamba nchi Inakuwa na mfano wa kisasa ambao utawezesha kupata wachezaji sahihi na wenye umri sahihi.
sema rais wako mpendwa, not wetu...., acha sweeping statements
 
Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu Hassan una mapenzi ya dhati ya mpira wa miguu.

Hata hivyo, tunakuomba mheshimiwa Rais hakikisha kabla ya kumaliza muda wako 2030 uhakikishe ya kwamba umeacha misingi ya uhakika ili taifa letu liweze kufikia kiwango cha mataifa yaliofanukiwa kwenye football.

Hivyo, tunamba serikali yako tukufu inaweka mazingira ya kuhakikisha ya kwamba nchi Inakuwa na mfano wa kisasa ambao utawezesha kupata wachezaji sahihi na wenye umri sahihi.
Ipo ile ya kidongo chekundu sijui ii hali gani!
 
Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu Hassan una mapenzi ya dhati ya mpira wa miguu.

Hata hivyo, tunakuomba mheshimiwa Rais hakikisha kabla ya kumaliza muda wako 2030 uhakikishe ya kwamba umeacha misingi ya uhakika ili taifa letu liweze kufikia kiwango cha mataifa yaliofanukiwa kwenye football.

Hivyo, tunamba serikali yako tukufu inaweka mazingira ya kuhakikisha ya kwamba nchi Inakuwa na mfano wa kisasa ambao utawezesha kupata wachezaji sahihi na wenye umri sahihi.
Ni aibu kuokoteza wachezaji kwenye Taifa kama Hili ambalo watu wake wanapenda mpira.
 
Academy haitasaidia ...cha muhimu ni reforms kwenye mpira...kwenye mpira ni chaka la wapigaji ...ilikuja under 17...wapigaji hawakuipenda ikafia mbele....ukitaka kujua hilo nenda kwenye chaguzi za vyama vya mpira vya mikoa mpaka taifa
 
Back
Top Bottom