Nipe Maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2025
- 335
- 190
“Kwa mfano leo hapa Bariadi kuna miradi sita ya kufungua na yote ni kwa sababu serikali ilikuwa na fedha, tumetawanya fedha za kufanya miradi hiyo. Ni makusanyo ya ndani. Miradi yote tumejenga wenyewe isipokuwa mmoja ndio wa mtu binafsi niliokwenda kuufungua asubuhi leo. Lakini mitano yote ya serikali. Na hilo sio Simiyu peke yake ni nchi nzima. Mamiradi mingi, mingi yanaendelea kuna fedha za mikopo, za misaada lakini kubwa tunazokusanya ndani,” Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.