Etwege

JF-Expert Member
Jul 4, 2018
5,822
15,347
Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?

Kwa miaka 3 hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, licha ya kwamba awamu ya 5 ilibakiza vijiji elfu 2 nchi nzima, January Makamba ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.

Legacy ya Makamba ni ipi hapo TANESCO?
 
Ungejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
 
kwa ushahidi upi?,hebu weka ushahidi wa uovu wa January hapa
 
Alipaswa afukuzwe na kushitakiwa badala ya kubadilishiwa Wizara
 
Hana tatizo Makamba.
 
Mmmm Sababu ya mabadiliko unaijua?
 
Alikompeleka nako wizara nyeti. Hamna lolote.
 
Ni wazi kuwa sasa Kassim Majaliwa na mama haziivi kabisa. Ni vile tu ameona kumuondoa italeta noma, vinginevyo angemuondoa.

Ndiyo maana mama kaona bora avunje katiba amuweke mtu (naibu waziri mkuu) ofisini kwa Majaliwa ili atekeleze yale yote ambayo anayataka.

Huko ndani Kuna mtifuano usiokuwa wa kawaida. Juzi tu baosi wa usalama wa taifa kaondolewa na leo waziri wa ulinzi ameondolewa. Soon or later tutayaona ya Gabon, Burkina Faso, Mali, Niger na Liberia.

Tanzania njema yaja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…