Labda LAISIKiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyrti
Ungejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Hata hayati Membe alipewa Wizara hiyo, kama Mungu hajakuandikia huwezi kuwa.Kiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyrti
kwa ushahidi upi?,hebu weka ushahidi wa uovu wa January hapaRais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Usikariri bwana, siyo kila mambo ya ndani ni Rais mtarajiwa. Wengine wahuni tuUngejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Alipaswa afukuzwe na kushitakiwa badala ya kubadilishiwa WizaraRais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Makamba watu hawamtaki hata kidogoHata hayati Membe alipewa Wizara hiyo, kama Mungu hajakuandikia huwezi kuwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana tatizo Makamba.Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Sahihi ✔️yaani umejifcha nyumbani kwako na Tecno unapost unasema tulikuonya rais wewe na nani labda na familia yako urais ni taasisi siyo mtu mmoja.
Wewe humtaki. Hujui anachofanya wizarani. Sio kila jambo ni waziri tu...Makamba watu hawamtaki hata kidogo
Mmmm Sababu ya mabadiliko unaijua?Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Hiyo wizara ya mambo ya nnje ndio inampendezea Makamba January.. kongore kwakeUngejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Hata kabudi alipewa hiyo wizara yupo wapi sasaKiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
Alikompeleka nako wizara nyeti. Hamna lolote.Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Nani aliyewahi kupewa hiyo wizara na akafanikiwa kuwa rais?Kiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni