Rais Samia: Tulikaa kikao na Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kujadili mkopo. Iko wapi nafasi ya Baraza la Mawaziri?

Ndiyo maana wenye maono, waliochoshwa na business as usual, wanasema system kufumuliwa na kusukwa upya hakuna jipya! Haya mashambulizi na majizano yanaonyesha tu jinsi mfumo wetu wa utawala ulivyo mbovu! Yaani jambo nyeti kwa nchi kama kukopa fedha nyingi namna hii liamualiwe na watu wachache namna hiyo?
Kwa kifupi CCM wamefika ukingoni hawana maajabu yyte
 
Makusanyo yanaongezwa kwa tozo za simu, ambazo pia zinalalamikiwa. Tatizo wabongo wanataka kwenda mbinguni lakini kifo wanakiogopa.

Mama anafaa sana kuwa kiongozi, hana ukatili, anayo fairness. Anajua kuongea na wasio watanzania, hana majivuno yasiyo na kichwa wala miguu na anayo convincing power ya kufikia muafaka baada ya mazungumzo mazito kwa faida ya Tanzania.
Hii njemba nayo haijielewi
 
Bora samia alikuwa anakaa na wenzake wawili jumla watatu...
Mwendazake alikuwa akimka tu anaamua chattle iwe mkoa.. na kupanga mambo ya nchi akiwa mwenyewe.
Una hakika!! Ama unaongea kana kwamba kuna kitu kizito kipo nyuma yako?
 
Nikiendelea na uchambuzi wa hotuba ya juzi ya Rais Samia, kuna sehemu alisema walikaa kikao cha watu watatu, yaani yeye Rais, Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kuhusu kufanya maamuzi juu ya masuala mkopo na hali ya nchi kwenye ukopeshwaji!

Kauli hiyo imenitia mashaka? Nimejiuliza iko wapi nafasi ya baraza la mawaziri kwenye kufanya maamuzi magumu kama hayo kwa maslahibya nchi?
Hata wziri mkuu hakupaswa awepo...?
 
Yule alikuwa anakaa na dotto James pekee..
Umemaliza. Sasa iko hivi ili tuwe na fair discussion... Watanzania wote kwa umoja wetu...tuungane kudai katiba, na main theme ktk katiba hiyo iwe ni KUPUNGUZA MADARAKA YA RAIS... kinyume na hapo hata mimi nikiwa Rais ntawanyoosha.., my homeland will be young Dubai.
 
Mama anaonekana kutokuwa na confidence. Ogopa sana watu wasiokuwa na confidence wakiwa na madaraka. Kuna tozo, makusnyanyo ya kodi yameongezeka, mikopo kwa wingi, serikali inatumia pesa hizo namna gani. Kulikuwa na mmoja alidai anataka kukodi crane kwa gharama karibu sawa na kujenga daraja la wami.
Maandalizi ya 2025.

Strategically positioning.

Hela nyingi zitaibwa, mtaziona 2025.
 
Akili kisoda

Nikiendelea na uchambuzi wa hotuba ya juzi ya Rais Samia, kuna sehemu alisema walikaa kikao cha watu watatu, yaani yeye Rais, Katibu Mkuu Kiongozi na Waziri wa Fedha kuhusu kufanya maamuzi juu ya masuala mkopo na hali ya nchi kwenye ukopeshwaji!

Kauli hiyo imenitia mashaka? Nimejiuliza iko wapi nafasi ya baraza la mawaziri kwenye kufanya maamuzi magumu kama hayo kwa maslahibya nchi?

b8b1c0d9d755c3cd45483f6fddf15193.jpg
 
Magufuli alikuwa na confidence sana, in fact tatizo lake lilikuwa ni overconfidence. Alikuwa akiamua jambo, anahakikisha linatekelezwa, siyo aanze mikutano ya hapa na pale kutafuta kuungwa mono. Alisema kazi ilikuwa siyo kutafuta kupendwa, kwani mkewe janeti alishmpenda tayari. Hapa mama anachohangaika nacho kwenye hizo hotuba zote ni kutafuta kuungwa mkono tu, na ameshawapata wafuasi wa namna hiyo.
Confidence?! Mtu mwenye confidence haoni taabu kukoselewa!! Mtu mwenye confidence hawezi kudukua mawasiliano ya watu kutaka asikie wanaongea nini kuhusu yeye!!! Mambo kama hayo yanafanywa na mtu asiyejiamini! Na kwa kawaida watu wasiojiamini huwa wanapenda waonekana wao sio watu wa kuchezewa chezewa!!
 
Confidence?! Mtu mwenye confidence haoni taabu kukoselewa!! Mtu mwenye confidence hawezi kudukua mawasiliano ya watu kutaka asikie wanaongea nini kuhusu yeye!!! Mambo kama hayo yanafanywa na mtu asiyejiamini! Na kwa kawaida watu wasiojiamini huwa wanapenda waonekana wao sio watu wa kuchezewa chezewa!!
Unachanganya kati ya "confidence" na "ego." Unaweza kukuta mtu akiwa na confidence sana lakini pia yuko egocentric, wakati kuna mtu hana confidence lakini ana ego, na kuna mtu mwenye confidence bila ego na mwisho kuna asiyekuwa na cofidence wala siyo egocentric. Usichanganye.
 
Marehemu alikuwa anakaa na nani...
Si bora hata Mama kasema yaliyojiri..

Wapumbavu nini!??

Hoja Ni hoja. Sasa wewe unakaribisha vikao makaburini. Mkuu we Ni mchawi? Lakini kwa kujibu upumbavu wa swali lako Ni kuwa Hakuna duniani, narudia duniani anayeweza fanya jambo peke yake. Iwe Id Amin dada au mjomba wako. Swala na nani ni swala la kipindi kijacho.
 
Nafasi ya Ndugai iko wapi hapa? hii akili ndogo inayotuongoza itatupeleka pabaya zaidi, na ndio sababu Ndugai alihoji juu ya hii mikopo.

Matokeo yake badala ya kujibu hoja ya Ndugai kwa kujua amekosea akaona dawa yake amkodishie kikundi cha mipasho toka mikoani wakamsute ikulu.
Ndugai huyu alieomba msamaha au yupi ? alitakiwa asimamie anacho amini mpaka mwisho sio awe kigeugeu.........usiwaamini wanasiasa.
 
Back
Top Bottom