Nyamatare1987
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 416
- 493
Kwani yeye haienzi kaulimbiu ya hapa Kazi tu,Magu alikuwa hana weekend wala sikukuu yeye anateua na kuapisha hata jumapili😂😂Rais Samia Suluhu Hassan amesema Jumanne kutakuwa na uapisho wa wateule wengine Ikulu, Dodoma.
Je, ni nani hao watakaoteuliwa na kuapishwa?
Ngoja tuone.
Maendeleo hayana vyama!