Imagine tu hii ni comment ya kwanzaNida pumbav sana, ID tangu 2017 haijatoka
hamna kazi muifanyayo bora mpuuzwe
Siwezi juta coz lengo ni ili ifike nilikokusudia so makasiriko yenu ya kukosa vitambulisho mnatutolea hasira sisi sioMtoa uzi anajutaaa...
Isije ikawa huyo mtu ndio huyu mleta madaSawa ila mkirudi kazini muache dharau wafanyakazi wa NIDA wakat wa vitambulisho mi naenda kupiga picha mtu ananiuliza jina nani huku yeye anachat na kunywa juice akimaliza ndo ananiuliza ulisema unaitwa nani? Yaan nilijieleza had nikachoka
Nilijisajili 2014 ili kupata kitambulisho, kwa ile jeuri na dharau mliyonionyesha siku ile sitawasahau.
Mlifikiri sijui sijasoma, hivi huwa mnawaza kila anayekuja kwenu kujiandikisha hajasoma?
Kumbe mlifukuzwa eeh? Safi Sana na mfukuzwe tena huko mlipo
Ila siku nyingine punguzeni dharau na jeuri
Nyie hampaswi kurudi aisee, halafu ajira zipo NIDA tu? Tafuta ajira kwingine mkuuMoja ya stahiki ni mikataba ya ajira ya kudumu kama tulivyoahidiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukiachwa achika, toka 2016 bado huja move on tu?Ila ID zilikuwa zinatoka ontime.
Angalia baada ya sisi kupunguzwa January 2016 wangapi wamepata vitambulisho?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kufukuzwa mlikuwa mmeshatoa vitambulisho vingapi?
Niwaonee wivu mmeshafukuzwa? Ila mlijiona nyie ni wajanja sana,
Hapohapo kama ulikuwepo, chang'ombe walikua wakijiona wao miungu kabisa. Kwenye kupanga foleni walikua wanafoka hao sijawahi kuona, alafu wanafokea wengine ni watu wazima sana sawa na baba na mama zao.Ila mlikuwa na nyodo Sana...kuna vijamaa pale Chang'ombe kalinijibu shit mwaka 2014, kisa nadai kitambulisho changu! Kulikuwa na namba za mabosi zao nikawapigia. Wakanipa haraka siku hiyo hiyo.
Poleni sana
Katika taasisi zote za serikali NIDA ndio kulikua na watu jeuri sijapata kuona.Comment ya mtu mmoja mwanzoni inaweza badilisha mwelekeo mzima wa wanaofuata.Wananchi wana stress sana...
Pole mtoa mada..
Japo ni kweli taasisi nyingi za serikali customer care ni kama hakuna
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Hao nida hawafai, Hadi mbosso aliwatungia wimbo "....ndio kwanza najidaiii, Kama afisa wa Nida.."Mkuu nawewe kumbe unajua kutukana, mbavu sina
Shukrani mkuuComment ya mtu mmoja mwanzoni inaweza badilisha mwelekeo mzima wa wanaofuata.Wananchi wana stress sana...
Pole mtoa mada..
Japo ni kweli taasisi nyingi za serikali customer care ni kama hakuna
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app