Rais Samia tukumbuke watumishi wa NIDA

Rais Samia tukumbuke watumishi wa NIDA

Nida wafukuzwe wote manina zao! Mkiwa kwenye viofisi vyenu na madharau na kuwaona wanaokuja kuhudumiwa hapo kama ma takataka flani,mara muwagombeze,mara mututukane,hamujalu hata umri wa mtu shenzi kabisa,nimeshuhudia kijana wa miaka kama ishirini na tano wa nida akimtukana bibi wa watu kisa yule bibi kushindwa kufuata maelekezo ya afisa,nawachukia sana mbwa nyie
Pole sana mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unampiga boonge la kelb ni bora uweke tu, lockup kuliko dharau za ki kuda kama hizo nakiri hata mimi sijapata hiyo National Identity card mpaka leo hii since 2017 nilivyo jiandikisha ilikuwa kinondoni mpaka sasa wamehamishia kawe hakuna nilicho ambulia zaidi ya Namba ya NIDA pekee hiyo Card nimesha waachia tu bado suala la passport sasa maana nasikia nahuko ngoma ni nzito sana
Pole sana mkuu!
Tukiipata hiyo nafasi tena hizo kero hamtazisikia tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilijisajili 2014 ili kupata kitambulisho, kwa ile jeuri na dharau mliyonionyesha siku ile sitawasahau.
Mlifikiri sijui sijasoma, hivi huwa mnawaza kila anayekuja kwenu kujiandikisha hajasoma?
Kumbe mlifukuzwa eeh? Safi Sana na mfukuzwe tena huko mlipo
Ila siku nyingine punguzeni dharau na jeuri
Punguza makasiriko, chuki na ubinafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila ID zilikuwa zinatoka ontime.
Angalia baada ya sisi kupunguzwa January 2016 wangapi wamepata vitambulisho?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu kasema yeye toka 2014 hajawahi kupata; hapo napo mlikuwa mmefukuzwa.

Hivi kwanini mlikuwa na dharau kiasi kile?

Ukiangalia hakuna mtu yeyote alieko upande wenu. Acha mle jeuri yenu wapiuzi wakubwa nyie
 
Waweke mfumo online, wawatoe tu jamaa hata waliobaki ofisini. Nimegundua wanaopenda hiyo kazi wote wavivu.
Yaani huyu toka 2016 kweli jamani bado anaomba kazi ile ile. Maana asipopata ataendelea vile vile.
 
Mlikuwa na nyodo sana....pumbafu zenu, jiwe kiboko yenu
 
Ila mlikuwa na nyodo Sana...kuna vijamaa pale Chang'ombe kalinijibu shit mwaka 2014, kisa nadai kitambulisho changu! Kulikuwa na namba za mabosi zao nikawapigia. Wakanipa haraka siku hiyo hiyo.


Poleni sana
 
Salamu za wazi kwako mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Kazi iendelee!

Ninakuomba mama utukumbuke watumishi 598 tuliopunguzwa kazi mara tu baada ya Rais Magufuli kuingia na kumtumbua mkurugenzi wetu Dickson Mwaimu na kuteuliwa Bw Modestus Kapilimba kisha kutupunguza wafanyakazi 598 wa NIDA nchi nzima kwa kisingizio cha mlundikano wa wafanyakazi na kuacha uhaba mkubwa wa watumishi wa NIDA na ndio mana utoaji wa vitambulisho vya taifa umekuwa tatizo kubwa sana.

Mama watumishi wengi waliopunguzwa walishajitolea kwa zaidi ya miaka mitano wakiahidiwa na wakitegemea ajira za kudumu lakini haikuwa hivyo baada ya utawala wa awamu ya tano.

Kwa sasa wengi wetu tunaishi maisha magumu sana kwani ajira ni ngumu sana kupata na wengi wetu tuna familia zinatutegemea na pia watanzania wanateseka hawapati vitambulisho kwani NIDA inakabiliwa na uhaba mkubwa wa watumishi.

Tunaomba utufute machozi na jasho letu Mheshimiwa Rais.

Ninatanguliza shukurani zangu kwako mama.

By
Anonymous from Dar es Salaam
Nikupe idea? Jikusanyeni watu watano, Nendeni pale bonde la msimbazi karibia na jangwani, zameni mule mtoni muwe mnatoa mchanga, kwa siku hamkosi laki kila mmoja wenu. Kuna madogo wananitolea mchanga mule, hawajui kusoma wala kuandika, wanatoa lorry za kutosha na kunipakilia kabisa..., si chini ya laki 5 wanatengeneza kila siku, mvua ikinyesha kwao ni furaha tu, maana mchanga unakuja mwingi sana! We endelea kulia lia
 
Back
Top Bottom