Rais Samia tukumbuke watumishi wa NIDA

NIDA ni jipu, cha ajabu kitambulisho cha kura wanakupa on the spot.

Nakazia aliyesema huko mlipo ilipaswa mfukuzwe kwa mara ya pili, wapuuzi kweli nyie.
 
NIDA ni jipu, cha ajabu kitambulisho cha kura wanakupa on the spot.

Nakazia aliyesema huko mlipo ilipaswa mfukuzwe kwa mara ya pili, wapuuzi kweli nyie.
Sawa bhana but kumbuka sisi tulishika tu kwenye makali walioshika kwenye mpini ndio changamoto.
Can you believe mashine ya kuvitengeneza nchi nzima ipo moja tu kibaha HQ.

Sisi tulikuwa tunamaliza process nyingine zote but ikifika HQ mashine inazidiwa uwezo namely one machine to produce more than 30 million ID.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaa yani nyie jamaaa sina hamu kabisa na nyie,hawa wafukuzwe hata huko uraiani waliko
 
Back
Top Bottom