Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,571
- Thread starter
- #61
We acha tu.Kwahio hapo umejiona bonge moja la bingwa tajiri kwa kutukana.
Sent using Jamii Forums mobile app
We acha tu.Kwahio hapo umejiona bonge moja la bingwa tajiri kwa kutukana.
Usawa huu bila connection utatoboa mkuuNyie hampaswi kurudi aisee, halafu ajira zipo NIDA tu? Tafuta ajira kwingine mkuu
Move on if you find peace else where but since then vibarua tu navyo havielewekiMkuu ukiachwa achika, toka 2016 bado huja move on tu?
Idara zipo nyingi hiyo ya kujua idadi mimi sikuwepo.Kabla ya kufukuzwa mlikuwa mmeshatoa vitambulisho vingapi?
Sorry for incovinience boss!.Ujuha wenu mwingine ulikuwa ni kushindwa kucopy majina sahihi toka kwenye form, mnajiandikia tu spelling mnazohisi zinafaa nyie ili mrekebishe kwa malipo.
Graduation, Islamabad Y'ALL(In Senga's )
AsanteNiwaonee wivu mmeshafukuzwa? Ila mlijiona nyie ni wajanja sana,
Kama mlikua wengi hivyo na upatikanaji wa kitambulisho ulivyokua mgumu, endeleeni kukaa njeSalamu za wazi kwako mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Kazi iendelee!
Ninakuomba mama utukumbuke watumishi 598 tuliopunguzwa kazi mara tu baada ya Rais Magufuli kuingia na kumtumbua mkurugenzi wetu Dickson Mwaimu na kuteuliwa Bw Modestus Kapilimba kisha kutupunguza wafanyakazi 598 wa NIDA nchi nzima kwa kisingizio cha mrundikano wa wafanyakazi na kuacha uhaba mkubwa wa watumishi wa NIDA na ndio mana utoaji wa vitambulisho vya taifa umekuwa tatizo kubwa sana.
Mama watumishi wengi waliopunguzwa walishajitolea kwa zaidi ya miaka mitano wakiahidiwa na wakitegemea ajira za kudumu lakini haikuwa hivyo baada ya utawala wa awamu ya tano.
Kwa sasa wengi wetu tunaishi maisha magumu sana kwani ajira ni ngumu sana kupata na wengi wetu tuna familia zinatutegemea na pia watanzania wanateseka hawapati vitambulisho kwani NIDA inakabiliwa na uhaba mkubwa wa watumishi.
Tunaomba utufute machozi na jasho letu Mheshimiwa Rais.
Ninatanguliza shukurani zangu kwako mama.
By
Anonymous from Dar es Salaam
Hao waliobakizwa ndio wenye sifa hizo coz kuna wakubwa wanawalinda!Hapohapo kama ulikuwepo, chang'ombe walikua wakijiona wao miungu kabisa. Kwenye kupanga foleni walikua wanafoka hao sijawahi kuona, alafu wanafokea wengine ni watu wazima sana sawa na baba na mama zao.
Sisi hatukua hivyo mkuuMnataka kurudi wapi wakati ni kama vile hakuna NIDA kabisa. Hakuna idara ya serikali mbovu kama hii. Bora mngefukizwa wote tu
Kazi kufokea watu, elimu ya uraia hamjui. Sheria za uraia hamjui. Yani ni pumbavu juu ya upumbavu.
Mama ungefukuza tu wote hawa!
Duh!Katika taasisi zote za serikali NIDA ndio kulikua na watu jeuri sijapata kuona.
Wewe huoni mbosso alitunga wimbo akasema ".....ndio kwanza najidaiiiii, Kama afisa wa Nida..."
Hao jamaa wa Nida walikua wanajidai na lugha kali sana, na wafukuzwe tena huko walipo.
Aaah kumbeeeHahahaaaaa huyu jamaa anajuta kuleta huu uzi siku kama ya leo, siku nzuri ijumaaa had jumapili watu wakiwa wametulia
Tuombee turudi nitaanza kukurekebishia wewe free of charge coz hicho ndicho kitengo changu mkuuTangu 2015 Mpaka leo nateseka na Nida,walikosea spelling moja ya jina langu.Nimelipa elfu 20 kufanya marekebisho tangu mwaka jana mwezi 8 mpaka leo hakuna marekebisho.Nikienda ofisini naambulia majibu ya dharau na kejeli.
Sina hamu na Nida
Hizo online copy wanatoa baada ya muda gani?Hamna kitu mnafanya nyie watu, since 2017 I've no original ID, Online Copy imenisaidia vinginevyo ningekwama
NIDA na UHAMIAJI ndo watu ambao huwa siwaelewi nchi hii
Nani akuonee wivu pumbavu zako hakuna kazi mnayofanya wajinga wakubwa
Pole wewe kwa kutimuliwa kazi,hata huko mliko naomba Mungu afanye miujiza mtimuliwe tena,Amen
Haya ndiyo yalikuwa majibu yenu hata kipindi kile mlipo pewa dhamana ya kuhudumu huko mlikotimuliwa,hebu fikiri mtu wa aina hii ndiye aliyeajiriwa kwa kodi za wananchi awahudumie,halafu anawaambia hao hao wananchi waka tombw÷
Ushauri wa bure mkuu, hiyo connection iliyokupa ajira ya nida hapo mwanzo itumie hiyo hiyo au pambana kivingine huko nida hakuna kitu tena na hata zikitolewa mtagombania upya
Ushauri wa bure mkuu, hiyo connection iliyokupa ajira ya nida hapo mwanzo itumie hiyo hiyo au pambana kivingine huko nida hakuna kitu tena na hata zikitolewa mtagombania upya